Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You will never get it right...still an amateurIsipompendeza je? Watanzania Bado wajinga wengi. Unalipa Kodi unamwandikia individual politician et "ikikupendeza" kwa hiyo siku hizi nchi inajengwa kwa mtu ikimpendeza? Kwanini usiiambie serikali ijenge SGR na si huyo uliyemtaja. Uhalali wa serikali ni wananchi
Muda mwingine utani kidogo.Siyo Kila muda ni seriously tuBandari ya Tanga can serve mizigo ya kilimanjaro, Arusha, Manyara provably na Some part of Singida etc....mbege ni sehemu ndogo ya mizigo bro...grow up uache ujinga!
Morogoro Kuna biashara kubwa sana na uhitaji wa bidhaa na mizigo kuliko Arusha?Tatizo huko mizigo hakuna.Tanga ,Arusha na Kilimanjaro mizigo Yao kuu ni mbege.Sasa Sgr wabebe mbege?
HIi kitu ni ndoto, labda CCM wakishatoka madarakani
Wakati tunakuwa Arusha kulikuwa na treni ya mizigo na mafuta malori ndio yalififisha utendaji wakeLengo ku la train ni usafirishaji wa mizigo mizito
Tangu enzi za enzi usafiri wa Train ya Abiria na.Mizugo ilikuwepo kaskazini uliza hata wazee wa 1950's watakuambia.Mabaus na Malori ndio yalififisha reli hiyo,kama isengukuwa na umuhimu mkoloni asingeiweka.Tatizo huko mizigo hakuna.Tanga ,Arusha na Kilimanjaro mizigo Yao kuu ni mbege.Sasa Sgr wabebe mbege?
Na mzigo wa kurudi Dar jeWakati tunakuwa Arusha kulikuwa na treni ya mizigo na mafuta malori ndio yalififisha utendaji wake
Je unafikiri hakuna mizigo ya kurudisha dar jibu ni hapana mizigo ipo hofu tu.Kungekuwa hakuna mizigo isingekuwepo.Na mzigo wa kurudi Dar je
Inaweza kuunganishwa na bandari ya Tanga iende Kilimanjaro, Arusha hadi Uganda.....Ije kubeba mzigo gani?
Kwaiyo Ipite Kenya?Inaweza kuunganishwa na bandari ya Tanga iende Kilimanjaro, Arusha hadi Uganda.....
Kuna mradi uliwahi kusainiwa ijengwe reli kutoka mandarin ya Tanga eneo la mwambani hadi Musoma kupitia Arusha, then Musoma mizigo inachukuliwa na ferry katika ziwa Victoria kwenda Uganda...Kwaiyo Ipite Kenya?
Kwa Sasa tayari Kuna reli inafika mwanzaKuna mradi uliwahi kusainiwa ijengwe reli kutoka mandarin ya Tanga eneo la mwambani hadi Musoma kupitia Arusha, then Musoma mizigo inachukuliwa na ferry katika ziwa Victoria kwenda Uganda...