Ikimpendeza Rais Samia amuhamishie RC Makonda Mwanza

Ikimpendeza Rais Samia amuhamishie RC Makonda Mwanza

HUMAN ERROR

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
318
Reaction score
627
Kumepoa sana , kwa ubunifu wa Makonda ndani ya Muda mfupi Mwanza itaipiku

Mama waletee hawa watu Rc Makonda .
 
Uongozi ushakuwa kama ushereheshaji sasa kiasi kwamba kigezo kikuu ni ubunifu wa burudani katika mkoa?

It is within their full rights kwa wazungu kutumithilisha na nyani.
 
Mwanza labda kwa ajili ya ku-mobilise kura za ukanda wa ziwa. Mtanda kwa kweli mimi sifurahii uwepo wake Mwanza. Hakuna hamasa yoyote ya maendeleo. Amos Makala na jamaa aliyehamishiwa Moro, Mr. Malima, walileta matumaini.

Mtanda nadhani level yake ni wilaya na mikoa ambayo haina nguvu kiuchumi.

Kama sio hivyo, yule dogo wa Simiyu, ana chemistry sana na anaowaongoza.

Tatizo la Mwanza, akija mkuu wa Mkoa mazuri, hakai.

Huoni promotion ya utalii wa ziwa, utalii wa mbuga za wanyama, Mkoa hautengi visiwa kwa ajili ya hotel za kitalii, tangu Nyerere afanye kisiwa cha saa nane, miaka hiyo, no effort.

Mtanda apelekwe kwao huko kusini, hawanaga haraka na maendeleo.

Mwanza, kama ni mpira, ndio kiungo mchezeshaji wa kanda ya ziwa.

May be kwa kuwa alikuwa Katibu wa Mzee Makamba enzi akiwa Katibu Mkuu CCM, na yeye kapata wenge BCBG kuona mama amewachekecha wanafudenge.

Kuna tamasha la Bujora la mila za kisukuma, huoni nguvu ya mkoa, basi itisha tamasha la mitumbwi, kama makonda kaitisha la Land Rover
 
Uongozi ushakuwa kama ushereheshaji sasa kiasi kwamba kigezo kikuu ni ubunifu wa burudani katika mkoa?

It is within their full rights kwa wazungu kutumithilisha na nyani.
Inasikitisha sana
 
Kumepoa sana , kwa ubunifu wa Makonda ndani ya Muda mfupi Mwanza itaipiku

Mama waletee hawa watu Rc Makonda .
Hivi hizo bunifu za kukurupuka za huyo Bashite aka makonda zina lasting impacts? Au hilo swali si muhimu kwa sasa?
 
Hivi nyie mbona mnajikomba sana kwa huyu takataka Makonda, na kama hizi thread za Makonda anazianzisha mwenyewe Makonda kwa nia ya kujifagilia basi ni mpumbafu
 
Kumepoa sana , kwa ubunifu wa Makonda ndani ya Muda mfupi Mwanza itaipiku

Mama waletee hawa watu Rc Makonda .
Hivi mwaonaga Makonda anapiga kazi kuliko ma Rc tz hii , acheni ujua , kuna ma Rc ni wa moto japo mambo yao sio ya kutaka maonesho , unamfaham Rc Mtaka , moja ya mfano tu , na hutosikia kelele , japo akiwa Dodoma alifanya jambo gum la kuamisha miradi ambayo ilikua ielekezwe Nala ,lugala , Mbalawala , wenda alikosa ushauri but the man is very smart .

Shida tz ni wa kufuata mkumbo tu ,Makonda wa kawaida sana sema anqjua jibrand
 
Makonda ni kiboko ya gaidi na chama chake
 
Kwa nini ahamishiwe Mwanza. Kwani RC Mtanda hafai kuwa Mwanza. Wananchi wa Mwanza hatumtaki RC mzawa.
 
Yaani bongo ndio kwanza tunawaza matamasha kama kichocheo cha maendeleo. Tuna kazi ngumu sana kuyafikia maendeleo ya kweli. Yaani dunia hii inayokimbizana na sayansi na teknolojia, watu wanafukuzana na AI na nano-technology, sisi bado tunawaza matamasha ya mitumbwi na baiskeli. Bado tunaona kama kufanya festival ya Land Rover ni issue kubwa sana, wenzetu ile ni burudani tu baada ya kazi, watu wanaenda kula bata.
Mwanza labda kwa ajili ya ku-mobilise kura za ukanda wa ziwa. Mtanda kwa kweli mimi sifurahii uwepo wake Mwanza. Hakuna hamasa yoyote ya maendeleo. Amos Makala na jamaa aliyehamishiwa Moro, Mr. Malima, walileta matumaini.

Mtanda nadhani level yake ni wilaya na mikoa ambayo haina nguvu kiuchumi.

Kama sio hivyo, yule dogo wa Simiyu, ana chemistry sana na anaowaongoza.

Tatizo la Mwanza, akija mkuu wa Mkoa mazuri, hakai.

Huoni promotion ya utalii wa ziwa, utalii wa mbuga za wanyama, Mkoa hautengi visiwa kwa ajili ya hotel za kitalii, tangu Nyerere afanye kisiwa cha saa nane, miaka hiyo, no effort.

Mtanda apelekwe kwao huko kusini, hawanaga haraka na maendeleo.

Mwanza, kama ni mpira, ndio kiungo mchezeshaji wa kanda ya ziwa.

May be kwa kuwa alikuwa Katibu wa Mzee Makamba enzi akiwa Katibu Mkuu CCM, na yeye kapata wenge BCBG kuona mama amewachekecha wanafudenge.

Kuna tamasha la Bujora la mila za kisukuma, huoni nguvu ya mkoa, basi itisha tamasha la mitumbwi, kama makonda kaitisha la Land Rover
 
Kwa nini ahamishiwe Mwanza. Kwani RC Mtanda hafai kuwa Mwanza. Wananchi wa Mwanza hatumtaki RC mzawa.
Machawa wapo na mihemuko sana , ukiona hivi jua sio kwa bahati mbaya , wenda ccm wanaangalia namna ya kuongeza kura japo hata watumie vifaru kura za ccm 2025 hazitatosha , huu ndo ukweli kama uchaguzi ukifanyika.

Unganisheni mambo wakuu , kuna adhara ya nafikili ilikua ya katibu mkuu , ambapo Makonda alimtaka katibu mkuu kwamba yupo tiyari tumika mkoa wowote atapangiwa , so hii ya mleta mada wenda ni moja ya mpambe wa Makonda au yeye mwenyewe.

Note taifa lifikapo kwamba mmja anaonekana tenda kazi kubwa kuliko mwingine ili hali wote wapo nafasi moja , uteuzi toka kwa mtu mmoja ,hii inageuka kuwa shida .

Acheni uchonganishi , Makonda mwepesi sana linganisha na ma Rc tulionao japo sio wote , kama uchaguzi ukifanyika ccm hamna chenu .

Namuona uyu Mama kuendelea kubaki pale kama
1. Serikali chini yake ongeza mda ili kutafuta katiba mpya
2. Kuachia chama cha ccm na kugombea pitia chama kingine kama anataka kuendele , vinginevyo Mungu wangu anasema ccm itapigwa na hawatajua kipigo kimetokea wapi ,asema Bwana .
Note
Na mbili inawaweza kua nguma kunielewa ila kaa nayo siongezi wala kupunguza
 
Huyu mwamba apewe sifa zake... Kila alipo lazima avute nyomi la watu kulifatilia eneo lake na kwa kufanya hivyo inawavuta watu wengi kutaka kuwekeza hapo...

The man has special and unique talent in leadership... Apewe maua yake
 
Yaani bongo ndio kwanza tunawaza matamasha kama kichocheo cha maendeleo. Tuna kazi ngumu sana kuyafikia maendeleo ya kweli. Yaani dunia hii inayokimbizana na sayansi na teknolojia, watu wanafukuzana na AI na nano-technology, sisi bado tunawaza matamasha ya mitumbwi na baiskeli. Bado tunaona kama kufanya festival ya Land Rover ni issue kubwa sana, wenzetu ile ni burudani tu baada ya kazi, watu wanaenda kula bata.
Hatujakuzuia kuwaza AI, na wewe usitupangie cha kuwaza
 
Back
Top Bottom