Ikitokea DP World wakachoka na Upuuzi wetu na kuhamia Kenya, nisisikie Malalamiko haya kwani 'Nitapiga' Mtu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Vyuma vimekaza ( Pesa hakuna )

2. Ajira hakuna

3. Rais Samia hafai

4. Uchumi wa nchi Unaanguka

5. CCM haifai

6. Hatuvutii Uwekezaji

7. Nchi inachelewa Kimaendeleo

Mpuuzi yoyote nikimsikia akiyasema haya Saba ( 7 ) niliyoyataja hapa juu kama DP World wakichoka na Makelele yetu ya Kipuuzi dhidi ya Uwekezaji Wao nchini na Kuhamia nchini Kenya ajue atakachoambulia kutoka Kwangu ni Kofi Tukuka au Ngumi Takatifu.

Mama anawapenda na mnazingua.
 
Wacha waende tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…