Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
wacheze uingereza eti husda za mmasai wa nanja zisababishe matokeo tofauti?Ukweli kabisa...husdah ni mbaya sana! Watu kila siku wanapunwa halafu wewe unakuja kuwatangazia kuwa unaenda kula pesa ndefu..Lazima wakuhusudu tu na utashangaa mambo yanavyokwenda kinyume naa vile ulivyokuwa ukitarajia
yes maana kuna watu wameweka hela arsenal ashinde, kuna watu city ashinde na kuna watu wanataka draw. na kila mtu anapiga maombi matokeo yake yatimieSi ndio hapo kama mkeka kulose unalose tu hata usipotangaza hamna habari hizo
Hamna kitu kaam hicho kaam lose ni lose tu
Sanaaa..wapenda soka tumeenjoy
Ujuaji unao wewe usiejielewa watu wapo ulaya uvushe uchawi kutoka Tanzania akili huna hiyo ilishapangwa ni lose tuHuwa una ujuaji mwingi sana dogo
Imepangwa na nani?Ujuaji unao wewe usiejielewa watu wapo ulaya uvushe uchawi kutoka Tanzania akili huna hiyo ilishapangwa ni lose tu
Anapigika tu tunaendelea kumsakaIlibaki kidogo hivi mwamba ..tuendelee kuweka mikeka kadri stake inavyosoma ..kanji tusimuogope.
Mungu ni loseImepangwa na nani?
KawaidaCity leo kabebwa sana
KatunyongaQmmk man shit
Leo ilikuwa niende kukesha bar
Walifunga cashoutUlifanikiwa kucash out au treni letu tumbili wamekula nyaya??
Kawaida tu mkuu ndio bettingHapo ndio umuhimu wa kitu fecha cashout unapoonekana.
Mimi ikibakia timu moja huwa naungalia mkeka dakika zote kama mgongwa wa uangalizi maalum.
Mhindi akileta bei yenye maslahi nafanya naye biashara halafu nabeti tena.
MUNGU NA MIKEKA WAPI NA WAPI MKUU🤔Mungu ni lose
Mungu wangu unamjua?MUNGU NA MIKEKA WAPI NA WAPI MKUU🤔
Muumba wa mbingu na nchi au una mwingne mkuu😅Mungu wangu unamjua?