Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Kweli ila Boli bado sana ndo half time soon!Kashafungwa aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ila Boli bado sana ndo half time soon!Kashafungwa aisee
Nipe 05% tu upate hizo hela 100%Wakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana jamii forum wenzangu treni langu linaisha Leo mechi ya mancity na arsenal
Kafue chupi ...ushajiharishiaWakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana jamii forum wenzangu treni langu linaisha Leo mechi ya mancity na arsenal
SawaKafue chupi ...ushajiharishia
Red card kwa asernal hapa city kuchomoa na kuongeza ni kugusa...ila mchawi MudaDuuh kafunga cash out
Kwanini mkuuRefa umpe 10% yake.
Hayo mambo yalinikuta huwezi kulala wala kuangalia mechiYaani aisee muwe mnanipa matokeo sitaki hata kuangalia game maana inapresha hii game
Nimeweka 10000 ni treni timu 20 ya mwisho man city Leo
Sawa mkuuHayo mambo yalinikuta huwezi kulala wala kuangalia mechi
Ila man city kapigwa aisee sitaki hata kuangalia gameNakutakia kila la heri upate ili utupe moyo na sisi maafisa ubashiri wengine, kanji apigweeee...
Arsenal au citymtu anakula red hapa
Sawachuma cha pili...Mhindi haliwi kirahisi ivo
Game haijaisha City anashindaIla man city kapigwa aisee sitaki hata kuangalia game
Ila kapigwa la 2 so ni 1-2 arsenal mmoja kala umemeDuh poa mkuu
Duuh sawaGame haijaisha City anashinda