Huu mchezo ukiwa na presha unakata moto hivihivi kimasihara,😅Mikeka huwa haipendi kupigiwa kelele hapo kuna kila dalili mhindi anakukamua
Diddy the diddierYou can't without me😁
View attachment 3103522
Dk 90Mikeka huwa haipendi kupigiwa kelele hapo kuna kila dalili mhindi anakukamua
Hatokuja kuisahau hii sikuDakika ni za nyongeza. Mtoa mada huyu Arteta ni wa kumlaani maisha yako yote
Arteta sio mtu mzuriKatika kitu nimejifunza kwenye betting kama una mkeka wako hukushare halafu unakaribia kutick we kaa zako kimya mpaka utick. Yaani ukishare tuu good news imekula kwako binadamu sio watu wazuri kabisa