Una maana gan kuandika hayaDuh kweli mpira hautabiriki, dakika za nyongeza Man city wanasawazisha hapa na dakika mbili baadae wanapata chuma cha tatu. Dakika za jioooooni Man City inamfurahisha mleta uzi. Man city 3 Arsenal 2. Mechi imeisha, mleta uzi kachukue milioni 50 yako. Hongera sana haikuwa rahisi aisee.
Sio mtu mzuri kabisa, usitangaze mafanikio kabla hayajatimia nina experience ya mikeka kibao inabaki timu moja ambayo una uhakika inatick au inadraw matokeo yake nikishare tuu inachana......siku hizi huwa nakaa kimyaArteta sio mtu mzuri
The envy is real...sio mkeka tu hata kwenye mishe za kawaida ukiwa na dili la pesa usitangaze ovyoovyo kwa watu. Hakuna kitu kinaumiza kama kijicho /evil eye.Katika kitu nimejifunza kwenye betting kama una mkeka wako hukushare halafu unakaribia kutick we kaa zako kimya mpaka utick. Yaani ukishare tuu good news imekula kwako binadamu sio watu wazuri kabisa
Umeona?Huwezi shinda gemu itaisha 2-2
Imekustua nini? Ukawa una refresh mara mbili mbili kuona pengine ni kweli. Nilikuwa natania tu japo ilikuwa kidogo nipatie ngoma imeisha 2-2 pole kwa mleta uzi. Angeweka double chance angekuwa anafurahia hapo.Una maana gan kuandika haya
Kawaida ndio betting hiiYaani muhindi unaye weza kuula ni ule wa kuchemsha au wakuchoma ,ila muhindi huyu wa betting kumla ni kazi sana.
Arsenal leo wasingekuwa pungufu na hii nidhamu waliyo ionesha kwenye kukaba walikuwa wanashinda.
Kawaida ndio bettingYaani muhindi unaye weza kuula ni ule wa kuchemsha au wakuchoma ,ila muhindi huyu wa betting kumla ni kazi sana.
Arsenal leo wasingekuwa pungufu na hii nidhamu waliyo ionesha kwenye kukaba walikuwa wanashinda.
Kabisa mkuu yaani usitangaze kabisa ni bora watu waone matokeo tayari. Halafu sometimes unayemwambia anaweza kuwa hajui kama ana negative forces towards you na wengine makusudi kabisa anakufanyia roho mbaya.The envy is real...sio mkeka tu hata kwenye mishe za kawaida ukiwa na dili la pesa usitangaze ovyoovyo kwa watu. Hakuna kitu kinaumiza kama kijicho /evil eye.
Kijicho kinaukausha mmea uliostawi na kuabadilika kunyauka kabisa