Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Lissu atamshinda kweli Mwamba?Tutarudi kujadili hili tukishampitisha Lissu kuwa Mwenyekiti mpya CDM.
Mtu ana miaka 68, amechoka, anataka kustaafu. Lakin chama hicho hicho, kijana wa miaka 80, comrade Steven Wassira, kachukua mikoba ya u-makam mwenyekiti. Interesting times to be alive,πππ Wee kijana acha uchochezi
Wapinzani ambao tayari wamevurungwa na vipepeo wamekuwa Km gari mbovu lilifeli break?Yaani utabiri unaelekea kuiva kabisa kwa hizi danadana za mbili hizi .
mbowe hajambo?(msaliti wachama chenu cha chadema)πππ Wee kijana acha uchochezi
hyo ndo CCM kuilewa ni kazi inabidi uludi darasani na maana kipohapo mpaka leo hii.Mtu ana miaka 68, amechoka, anataka kustaafu. Lakin chama hicho hicho, kijana wa miaka 80, comrade Steven Wassira, kachukua mikoba ya u-makam mwenyekiti. Interesting times to be alive,
Ataondoka kwenda wapi na uyo rais mpya atakayeapishwa anatoka wapi wakat ameshakufaAtaapushwa na kushika wadhifa huo mpaka muda wa Rais mpya yeye ataondoka.
Anaweza kushika wadhifa huo na adishiriki uchaguzi mkuu, yani akawa interim president, hivyo akawa ameshika nafasi hiyo mpaka hapo rais mpya atakayepatikana baada ya uchaguzi, kisha yeye akakabidhi na kuondoka.Ataondoka kwenda wapi na uyo rais mpya atakayeapishwa anatoka wapi wakat ameshakufa
Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10.ππππNaombeni kujua tu wadau, maana ya Mungu mengi.
Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10.
Sasa ikitokea Rais akapata dharura na akashindwa kutimiza majukumu ya Urais, huyu makamu aliyejiuzulu anafaa kuapishwa kuwa Rais?
Hapo sasa itabidi wakae vizuri aliyejiuzuru na aliyeteuliwa wagawane nchi πNaombeni kujua tu wadau, maana ya Mungu mengi.
Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10.
Sasa ikitokea Rais akapata dharura na akashindwa kutimiza majukumu ya Urais, huyu makamu aliyejiuzulu anafaa kuapishwa kuwa Rais?
Mkuu katiba ya Jamhuri ina mtaja makamu wa rais kuwa mrithi wa rais sio mgombea mwenza wa chama. Mpango hajaachia umakamu hadi Oktoba.Naombeni kujua tu wadau, maana ya Mungu mengi.
Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10.
Sasa ikitokea Rais akapata dharura na akashindwa kutimiza majukumu ya Urais, huyu makamu aliyejiuzulu anafaa kuapishwa kuwa Rais?
Mkuu unaukumbuka upinzani wa Nchimbi mwaka 2015???Taratibu Zimenyooka Ataapishwa
Tunafuatilia Utabiri Wa Almaruhum Sheikh Yahaya Hussein
Mtapata Rais Mkali Sana Hii Tayari
Mtapata Rais Mwanamke Tunaye
Baadaye Upinzani Watatawala Tanzania Tunangoja
π€£ π€£ π€£Mtu ana miaka 68, amechoka, anataka kustaafu. Lakin chama hicho hicho, kijana wa miaka 80, comrade Steven Wassira, kachukua mikoba ya u-makam mwenyekiti. Interesting times to be alive,
Wewe chochea tu!! Zikiisha kuni tuambie tusogeze zingineNaombeni kujua tu wadau, maana ya Mungu mengi.
Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10.
Sasa ikitokea Rais akapata dharura na akashindwa kutimiza majukumu ya Urais, huyu makamu aliyejiuzulu anafaa kuapishwa kuwa Rais?
πππππππ Muda wa kutiwa sumu za Mic huu. Jamaa hataki seleka za mboga mboga anaona bora ajiweke kando mapema asije akaonekana sehemu ya plan vijana wa hovyo wakamnyoosha. Kuna kitu kakishtukia huyo sio bure.Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10.ππππ
Ameomba kujiuzulu by October 2025 sio sasa...Naombeni kujua tu wadau, maana ya Mungu mengi.
Makamu wa Rais amejiuzulu lakini anamalizia muda wake mpaka mwezi wa 10.
Sasa ikitokea Rais akapata dharura na akashindwa kutimiza majukumu ya Urais, huyu makamu aliyejiuzulu anafaa kuapishwa kuwa Rais?