Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Huyu Mbunge na naibu Spika....Ni zao la akili mfu zinazojipendekeza sana Serikalini huku zikiumiza raia wake. Huyu bwana na Tarimba huwa mara nyingi ukiwasikiliza unawaza tulimkosea nini Mungu?
Adhabu ambayo tunaipata kwa hawa watu au wa aina hii ni kubwa. Hapo bado hujamsikiliza dr nchemba....unaweza kuanza kulia na kusaga meno. Unaiona jehanamu hii hapa kabisa. Shetani na Malaika wake wanavyowaza namna ya kuendelea kukutesa.
Adhabu ambayo tunaipata kwa hawa watu au wa aina hii ni kubwa. Hapo bado hujamsikiliza dr nchemba....unaweza kuanza kulia na kusaga meno. Unaiona jehanamu hii hapa kabisa. Shetani na Malaika wake wanavyowaza namna ya kuendelea kukutesa.