Ikitokea umeshauri mtu avae Hijab nyekundu, huyo mtu akavaa, utajisikiaje? Kwa hili, Big Up Rais Samia na Serikali yako kwa kuwa wasikivu

Ikitokea umeshauri mtu avae Hijab nyekundu, huyo mtu akavaa, utajisikiaje? Kwa hili, Big Up Rais Samia na Serikali yako kwa kuwa wasikivu

Usikae utanie ramadan kwenye maisha yako . Ona unavojiaibisha
Mkuu The only, katika malezi yangu na makuzi, sikuwahi kuamini kuwa kuna binadamu ni wicked people!.

Nilianzia kazi JWTZ, huko sikukutana na wickedness yoyote. Nikaja RTD, watu wanasema sema sana kuwa RTD sio mchezo!, mimi nilifanya kazi pale miaka 5 bila wickedness yoyote!. Nikaenda DTV for 5 years no wickedness yoyote!. Niliporejea TBC TV as a boss, ndipo nikakutana na mambo na ndipo nikagundua ni kweli kuna baadhi ya binadamu ni wicked!.

Hiyo wickedness ya binadamu iko ya viwango tofauti tofauti, wickedness nyingine ni kubwa ya kufanya maandalizi au kuwaendea watu kinyume, na wickedness nyingine ni wickedness ndogo tuu ya mawazo wicked.

Wawe Mkuu The only, post yako hiyo ni wicked!. Wapi nimetania mwezi Mtukufu?. Ukiwa na mawazo wicked, kila kitu unakiangalia kwa jicho la udini!. Hijab sio vazi la Kiislamu, ni vazi la Kiarabu, Kiyahudi na Kiyunani la stara na staha kwa Mwanamke. Hata Bikira Maria Mama wa Yesu alivaa!. Hata masista na watawa wa Katoliki wanavaa!. Huo udini wa Hijab unautolea wapi?!.

Kwa taarifa yako mimi ni miongoni mwa watu tunao uheshimu sana Uislaam na kati ya wake zangu 3, mmoja wa kwanza ni muislamu na watoto wangu 3 ni Waislamu kwa kufuata dini ya Mama Yao!.

Angalia ninavyoheshimu mwezi Mtukufu wa Ramadan Amri Kuu ni Upendo. Kwaresma Hii na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Watanzania Tupendane, Tuonyeshane Upendo Kama TotalEnergies Inavyofanya

Wewe ukiendelea na wickedness yako hii, mwisho wa siku utaingia na kuwa mmoja wa watu wa kundi hili hatari!. Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
P
 
Huwa unapata wapi muda wa kuchezea kama huu?.
Mkuu Samiaagain2025, humu JF kuna wana JF wa aina mbili, kuna wale ambao wana shughuli zao wanaingia jf na kuandika as a past time, hivyo wakiwa na muda wa kupoteza ndio wanaingia JF na kuandika.

Tuko akina sisi ambao kuandika ndio kazi yetu, wakati wewe ukiamka asubuhi na kwenda kwenye kibarua chako kinachokuingizia kipato cha kuendesha maisha yako, sisi ambao kazi yetu ni kuandika, tunalala jf, tunaamkia jf, if ndio ofisini kwetu, hivyo hapa if ni kazini kwangu na kuandika ndio kazi yangu.
Huwezi kupata uteuzi kwa vile una sifa ya kupoteza muda.
Kama unadhani naandika ili kutafuta teuzi, rukhsa kutumia uhuru wako wa freedom of thinking and expression kuwaza lolote na kusema chochote na mimi naheshimu mawazo yako.
Too much of anything is harmful.
Hapa naungana na wewe, ni kweli too much of anything is harmful.
P
 
Paskali, sikatai kwamba kuna wenye maono na huenda ww ni mmojawapo. Mungu na akubariki upate hilo kama bado.
Mkuu Langlang, asante.
lkn ukikutana na wataalam wa takwimu watakuelezea masuala ya "probabilities", kwamba ikiwa mtu kazoea vaa viatu veusi, tegemea kuwa kesho atavaa vyeusi pia na hakuna maono ktk hilo.
Kwanza nakuunga mkono kuhusu probability, ndio ile niliposema yumkini ya kuyumkinika, uwezekano wa kuwezekanika na hujitokea tuu by chance yaani just a coincidence. Ila pia amini usiamini kwenye games of chances kuna watu wenye influence ambao wana I will ile dice kwa kutumia their powers of will!.
Ndio maana nikasema kwenye ulimwengu wa mwili ndio kuna coincidences lakini kwenye ulimwengu wa roho, hakuna coincidence, kila kinachotokea ni premeditated kilipangwa kitokee hivyo hivyo kilivyotokea tangu ile siku mtu anazaliwa!, hivyo unapojisemea kitu na kikatokea, there are two chances, 1. Kimejitokelezea tuu chenyewe 2. Wewe uliyekisema kuwa kitu hiki kitokee ume influence kitu hicho kutokea. Hivyo ukijisikia kiu na unahitaji maji ya baridi kupooza kiu na mara mtu akakuletea maji ya baridi kunywa, jambo la kwanza ni wewe kushukuru kwa hayo maji!. Unaweza kuwa ni wewe ndio ume will huyo mtu kukuletea maji.
lkn pia ikiwa umetabiri kutokana na ww kupenda rangi, tungetegemea ww kw kupenda rangi zile ungekua shabik wa CDM na sio CCM - hivo kuna yanayoongozwa na ubongo na wengine hisia.
Ni kweli na hili naomba nikuthibitishie ni kweli kuna wana CCM wengi ni Wazalendo na na ni Simba damu hawapendi nguo za rangi za Yanga lakini wanavaa tuu nguo za Kijani kwa sababu tuu inabidi lakini hawazipendi!.
hivo hakuna ajabu ww kushauri mama flani avae nini ikiwa mwenyewe anazi penda rangi hizo.
Pia hapa ni kweli, ndio maana nikasema ukishauri vaa Hijab Nyekundu na ikavaliwa, hata kama sio wewe uliyesababisha ivaliwe, utafurahi!.
hata suala la uchaguzi pia, kw anayejua na kufuatilia tabia, desturi na aina ya katiba tuliyo nayo sio vigumu kutabiri mshindi. hata mimi natabiri, ikiwa Katiba haitabadilika na kuwa na utofauti flani, CCM itaibuka kidedea... na hakuna maono ktk hilo ...au vp Paskali
Nakuunga mkono asilimia 100% kwa 100%!.
Ndio maana kuna watu wanaingia kwenye uchaguzi katika mazingira haya with too great expectations za kushinda na baada ya matokeo wanawadanganya wafuasi wao kuwa walishinda, akina sisi tumewasaidia sana watu hawa kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa mabandiko kama haya Uchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
P
 
Mkuu Langlang, asante.

Kwanza nakuunga mkono kuhusu probability, ndio ile niliposema yumkini ya kuyumkinika, uwezekano wa kuwezekanika na hujitokea tuu by chance yaani just a coincidence. Ila pia amini usiamini kwenye games of chances kuna watu wenye influence ambao wana I will ile dice kwa kutumia their powers of will!.
Ndio maana nikasema kwenye ulimwengu wa mwili ndio kuna coincidences lakini kwenye ulimwengu wa roho, hakuna coincidence, kila kinachotokea ni premeditated kilipangwa kitokee hivyo hivyo kilivyotokea tangu ile siku mtu anazaliwa!, hivyo unapojisemea kitu na kikatokea, there are two chances, 1. Kimejitokelezea tuu chenyewe 2. Wewe uliyekisema kuwa kitu hiki kitokee ume influence kitu hicho kutokea. Hivyo ukijisikia kiu na unahitaji maji ya baridi kupooza kiu na mara mtu akakuletea maji ya baridi kunywa, jambo la kwanza ni wewe kushukuru kwa hayo maji!. Unaweza kuwa ni wewe ndio ume will huyo mtu kukuletea maji.

Ni kweli na hili naomba nikuthibitishie ni kweli kuna wana CCM wengi ni Wazalendo na na ni Simba damu hawapendi nguo za rangi za Yanga lakini wanavaa tuu nguo za Kijani kwa sababu tuu inabidi lakini hawazipendi!.

Pia hapa ni kweli, ndio maana nikasema ukishauri vaa Hijab Nyekundu na ikavaliwa, hata kama sio wewe uliyesababisha ivaliwe, utafurahi!.

Nakuunga mkono asilimia 100% kwa 100%!.
Ndio maana kuna watu wanaingia kwenye uchaguzi katika mazingira haya with too great expectations za kushinda na baada ya matokeo wanawadanganya wafuasi wao kuwa walishinda, akina sisi tumewasaidia sana watu hawa kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa mabandiko kama haya Uchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
P
thanks Pascal. na kna ktu knaitwa "telepathy". umekaa zako mahali unajiwazia makuu flani unapata hisia kuna mtu flani anakukodolea macho na ukigeuka, ni kweli!
alinielezea ndg 1, ofcn kwao walikuwa waklipiwa chakla ch mchana na kampuni hivo hawaendi mbali. yy kwke klikuwa mbli na ofc. ck 1 wkt wa lunch, mara akaja dereva wa kampn na kuofa kmpa lift ampeleke nymbn naye bila kusita, akakubali. enzi hizo hakuna hizi simu janja. mara anafika tu nymbni anamkuta baba mkwe kamleta mama mkwe anaumwa, wamesmama mlangoni wanasuburi arudi toka ofcn jioni, kumbe mama mgonjwa. kumfikisha hosp, kalazwa. hadi leo anajiuliza ilikuaje! dereva katokea wp kuja mpk ofcn na sio kawaida, kumpa lift na kumbe nymbn pale mlangoni mm mkwe anamngojea, yu mgonjwa! coincidence? mambo ya kiroho?
nashindwa kuyaelewa haya. Yakiwa hasi - ushirikina, yakiwa chanya - ya kiroho! je, yote, hasi/chanya yalishapangwa kutokea¿! na nani? mwenye uelewa nijuze.
 
thanks Pascal. na kna ktu knaitwa "telepathy". umekaa zako mahali unajiwazia makuu flani unapata hisia kuna mtu flani anakukodolea macho na ukigeuka, ni kweli!
Duh...!. Umenikumbusha mbali!. Wakati nikiwa kijana sijaoa ni mtangazaji wa RTD enzi hizo redio ni moja tuu!. Hivyo ma MC ni watangazaji, nikawa nikiwa MC, wakati wa chakula kuna at least 1 hour break, basi kazi yangu ni kuangalia ukumbi wa sherehe kama ni kumbi za hoteli, naulizia kabisa bei ya chumba.

Sasa katika kuendesha event ile time ya chakula, unatupa jicho huku na kule kuangazia mizigo loose loose huwa inapita pita, macho yakigongana tuu, unasema kimoyo moyo njoo!, na hapo hapo unainuka kutoka nje, amini usiamini atakufuata nje, ni unaongoza hadi room bila kusema chochote!. Kufika tuu room ni kazi moja tuu!, washroom, then..., kisha washroom tena na kuruhusu kuondoka mwenyewe ili watu wasioone!. It's hardly 10 min!, hata sikumbuki kama kinga ilikuwa inavaliwa au laa!.

Kisha unarudi ukumbini kuendelea kusherehesha!. Sasa unapojiuliza ilikuwa na huyo mdada hakuangalii tena maana anaona aibu na kujishangaa!, ndipo nikagundua the power of telepathy!. Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
alinielezea ndg 1, ofcn kwao walikuwa waklipiwa chakla ch mchana na kampuni hivo hawaendi mbali. yy kwke klikuwa mbli na ofc. ck 1 wkt wa lunch, mara akaja dereva wa kampn na kuofa kmpa lift ampeleke nymbn naye bila kusita, akakubali. enzi hizo hakuna hizi simu janja. mara anafika tu nymbni anamkuta baba mkwe kamleta mama mkwe anaumwa, wamesmama mlangoni wanasuburi arudi toka ofcn jioni, kumbe mama mgonjwa. kumfikisha hosp, kalazwa. hadi leo anajiuliza ilikuaje! dereva katokea wp kuja mpk ofcn na sio kawaida, kumpa lift na kumbe nymbn pale mlangoni mm mkwe anamngojea, yu mgonjwa! coincidence? mambo ya kiroho?
nashindwa kuyaelewa haya. Yakiwa hasi - ushirikina, yakiwa chanya - ya kiroho! je, yote, hasi/chanya yalishapangwa kutokea¿! na nani? mwenye uelewa nijuze.
Hiyo ndio telepathy yenyewe, ila the initiator unaweza usiwe wewe bali ni Mama mkwe, wewe ni just a receiver of telepathic signals kuwa kuna mgonjwa nyumbani na unahitajika, ila na wewe uko very powerful, baada tuu ya kuhitajika nyumbani, ukaita gari, dereva akasikia akaja!.

Kuna ajali nyingi zinatokea, watu wanakuwa wanatonywa na kuonywa hawasikii, wanakaidi, yanawakuta ya kuwakuta!.
P
 
Duh...!. Umenikumbusha mbali!. Wakati nikiwa kijana sijaoa ni mtangazaji wa RTD enzi hizo redio ni moja tuu!. Hivyo ma MC ni watangazaji, nikawa nikiwa MC, wakati wa chakula kuna at least 1 hour break, basi kazi yangu ni kuangalia ukumbi wa sherehe kama ni kumbi za hoteli, naulizia kabisa bei ya chumba.

Sasa katika kuendesha event ile time ya chakula, unatupa jicho huku na kule kuangazia mizigo loose loose huwa inapita pita, macho yakigongana tuu, unasema kimoyo moyo njoo!, na hapo hapo unainuka kutoka nje, amini usiamini atakufuata nje, ni unaongoza hadi room bila kusema chochote!. Kufika tuu room ni kazi moja tuu!, washroom, then..., kisha washroom tena na kuruhusu kuondoka mwenyewe ili watu wasioone!. It's hardly 10 min!, hata sikumbuki kama kinga ilikuwa inavaliwa au laa!.

Kisha unarudi ukumbini kuendelea kusherehesha!. Sasa unapojiuliza ilikuwa na huyo mdada hakuangalii tena maana anaona aibu na kujishangaa!, ndipo nikagundua the power of telepathy!. Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Hiyo ndio telepathy yenyewe, ila the initiator unaweza usiwe wewe bali ni Mama mkwe, wewe ni just a receiver of telepathic signals kuwa kuna mgonjwa nyumbani na unahitajika, ila na wewe uko very powerful, baada tuu ya kuhitajika nyumbani, ukaita gari, dereva akasikia akaja!.

Kuna ajali nyingi zinatokea, watu wanakuwa wanatonywa na kuonywa hawasikii, wanakaidi, yanawakuta ya kuwakuta!.
P
umeniweka ktk hali ngumu Pascal. binafsi nimewahi ona ishara flani ya wanyama/viumbe wakifanyiana hujuma/uhasama flani na nilipowauliza wazee flani kama ilikuwa na maana yyte wakaniambia niiweke kichwani ktk kmbkmb na kusbiri huenda ikatokea na kweli ikatokea baada ya muda. na pia niliwahi ota ndoto zenye kunihusu nazo zikatokea. pia nmeshawahi kwenda kuona wagonjwa fulani nikawa na hisia mbaya kuhusu hali zao na kweli ikatokea.
hilo la ajali, kuna siku niliaga nymbni nisafiri kwenda mahali, nymbni wakaniomba sana nisisafiri nikakaidi, nikapata ajali. kuna wakati nikiwa nasoma sekondari tukisafiri ktumia "warrant" ndugu angu 1 alinitaftia lifti nami nikaikataa, yeye akasafiri nayo wakapata ajali. labda nahitaji kujua zaidi kuhusu hiyo "telepathy" ili niijijue zaidi na kama ni mbaya niachane nayo lkn kama ina faida niitumie. hizo picha ulizoweka mm sikuona ktu.
 
 
umeniweka ktk hali ngumu Pascal. binafsi nimewahi ona ishara flani ya wanyama/viumbe wakifanyiana hujuma/uhasama flani na nilipowauliza wazee flani kama ilikuwa na maana yyte wakaniambia niiweke kichwani ktk kmbkmb na kusbiri huenda ikatokea na kweli ikatokea baada ya muda. na pia niliwahi ota ndoto zenye kunihusu nazo zikatokea. pia nmeshawahi kwenda kuona wagonjwa fulani nikawa na hisia mbaya kuhusu hali zao na kweli ikatokea.
hilo la ajali, kuna siku niliaga nymbni nisafiri kwenda mahali, nymbni wakaniomba sana nisisafiri nikakaidi, nikapata ajali. kuna wakati nikiwa nasoma sekondari tukisafiri ktumia "warrant" ndugu angu 1 alinitaftia lifti nami nikaikataa, yeye akasafiri nayo wakapata ajali. labda nahitaji kujua zaidi kuhusu hiyo "telepathy" ili niijijue zaidi na kama ni mbaya niachane nayo lkn kama ina faida niitumie. hizo picha ulizoweka mm sikuona ktu.
Yaonyesha wewe ni very powerful person ila hizo powers zako hazijawa channel property zikuletee mafanikio. Telepathy ni just one of, ziko nyingi nimezitaja kule Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo? nadhani nahitajika kufungua darasa la online course kuwafundisha watu kitu kinachoitwa manifestation, ni namna ya kuzifungua hizi powers zikuletee mafanikio.
P
 
Wanabodi

Swali lenyewe ambalo ni swali la hypothetical situation ni hili "Ikitokea kuna event fulani ambayo inakwenda kutokea kesho ambapo mgeni rasmi ni kiongozi fulani Mkuu wa nchi ambaye ni rais wa nchi, kwa vile huyu ni rais wa nchi, nyinyi wananchi wote mnamfahamu, ila yeye hawezi kuwafahamu nyinyi wananchi wote hivyo wewe mwananchi wa kawaida unaamua kumshauri avalie Hijab Nyekundu na gauni la Navy Blue, atatokelezea sana!. Japo kiongozi huyu ana washauri rasmi ambao hao anawasikiliza lakini pia sisi wananchi pia tunamshauri maoni yetu kupitia njia zetu, sasa unapoona ushauri wako umefanyiwa kazi, jee ungekuwa wewe ungejisikiaje?.

Paskali
Haya wale wenye kujua kupiga hesabu za timing waangalie bandiko hili limepandishwa lini, lilishauri nini na baadae angalia hii picha
7.jpg

Hiyo Hijab ni Nyekundu!, hilo gauni ni Navy Blue!.
Wale mnaomini kwenye probability ya yumkini ya kuyumkinika aminini!, mnao amini ni just a coincidence tuu aminini!.
Mimi naendelea kusisitiza nilijisemea tuu na likatokea!.
Such an amazing coincidence inapotokea umesema jambo fulani na kweli likatokea, then hii inakuwa sio just a coincidence bali a coincidence iliyokuwa willed na powers of will, "Will Power" itokee!.
Hivyo Watanzania wenzangu, kaeni mkao wa kula, katiba mpya hiyo iko njiani kama tulivyo I will hapa!. Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

P
 
Inapendeza...
Yes inapendeza sana na amependeza sana!.
Just imagine on Sunday, unajisemea tuu mtu avae Hijab Nyekundu na Navy Blue dress kwenye event. On Tuesday mnapata ugeni mkubwa, on Thursday mgeni anamtembelea Mama Ikulu
IMG-20230401-WA0006.jpg

Hata ungekuwa wewe...
P
 
Back
Top Bottom