Ikitokea upinzani ukashika DOLA utakuta nchi ipo hoi bin taaban.

Ikitokea upinzani ukashika DOLA utakuta nchi ipo hoi bin taaban.

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Ni kana kwamba makada wa chama changu ccm wanadmfukuzana na muda kwa kukopa na kukuza deni la taifa kuwa kasi sana huku rasilimali zikibebwa na wageni KWA kisingizio cha mikataba ya uwekezaji!!

Najaribu kuvuta picha tuendapo napaona pagumu n hatuna pa kushika bila kujali nani atakua mshika dola!

Ccm itakua radhi kuuachia upinzani serikali pale watakapoona hakuna pa kushika na raia wamechoka na kupigika na maisha huku rasilimali zimebebwa na wageni KWA mikataba ya karne!!

Ndipo upinzani utashindwa kuendesha serikali na kuidai tanganyika kikatiba ilu kubatilisha mikataba ya rasilimali iliyoingiwa wakati nchi ukiwa Tanzania kabla!!

Mbinu pekee itakua ni kudai serikali tatu ili Tanganyika ipatikane na serikali mpya ya Tanganyika ifumue mikataba upya kuokoa wananchi hapo itakua too late!!

Mungu ibariki Tanzania!
 
Ni kana kwamba makada wa chama changu ccm wanadmfukuzana na muda kwa kukopa na kukuza deni la taifa kuwa kasi sana huku rasilimali zikibebwa na wageni KWA kisingizio cha mikataba ya uwekezaji!!

Najaribu kuvuta picha tuendapo napaona pagumu n hatuna pa kushika bila kujali nani atakua mshika dola!

Ccm itakua radhi kuuachia upinzani serikali pale watakapoona hakuna pa kushika na raia wamechoka na kupigika na maisha huku rasilimali zimebebwa na wageni KWA mikataba ya karne!!

Ndipo upinzani utashindwa kuendesha serikali na kuidai tanganyika kikatiba ilu kubatilisha mikataba ya rasilimali iliyoingiwa wakati nchi ukiwa Tanzania kabla!!

Mbinu pekee itakua ni kudai serikali tatu ili Tanganyika ipatikane na serikali mpya ya Tanganyika ifumue mikataba upya kuokoa wananchi hapo itakua too lat unaombea tupigike?
 
Taza
Ni kana kwamba makada wa chama changu ccm wanadmfukuzana na muda kwa kukopa na kukuza deni la taifa kuwa kasi sana huku rasilimali zikibebwa na wageni KWA kisingizio cha mikataba ya uwekezaji!!

Najaribu kuvuta picha tuendapo napaona pagumu n hatuna pa kushika bila kujali nani atakua mshika dola!

Ccm itakua radhi kuuachia upinzani serikali pale watakapoona hakuna pa kushika na raia wamechoka na kupigika na maisha huku rasilimali zimebebwa na wageni KWA mikataba ya karne!!

Ndipo upinzani utashindwa kuendesha serikali na kuidai tanganyika kikatiba ilu kubatilisha mikataba ya rasilimali iliyoingiwa wakati nchi ukiwa Tanzania kabla!!

Mbinu pekee itakua ni kudai serikali tatu ili Tanganyika ipatikane na serikali mpya ya Tanganyika ifumue mikataba upya kuokoa wananchi hapo itakua too late!!

Mungu ibariki Tanzania!
Tazama ramani utaona nchi nzuri.....................................................................................................
 
Vipi unahisi mali ulizochuma zote zitarudishwa serikalini au wasiwasi wako nini?
Upinzani Tanzania hauko serious na kumaliza matatizo ya wananchi. Kama wakilambishwa asali kidogo tu wanawehuka hivi, wakishika dola hakuna cha maana watafanya. Nchi itarudi nyuma zaidi
 
Mkuu, anaye anaye ogopa jambo kama hilo (mabadiliko) ni mtu tegemezi tu. Binadamu tumeubwa na akili kubwa kwa kukabiliana na hali yeyote itakayo jitokeza mbeleni! Usi-ishi kwa mazoea na utegemezi
Hofu yangu sio utegemezi, sioni kikubwa cha tofauti kitakachofanywa na upinzani kwa Tanzania hii.
 
Upinzani Tanzania hauko serious na kumaliza matatizo ya wananchi. Kama wakilambishwa asali kidogo tu wanawehuka hivi, wakishika dola hakuna cha maana watafanya. Nchi itarudi nyuma zaidi
Nadhani ili apatikane mtu bora kupitia upinzani kwanza inatakiwa usalama wa taifa upandikize mtu kule ambaye ni mzalendo hata kama atatoka ccm au kokote maana wao wana siri kubwa za nchi hii japo wameamua kuimba nyimbo za uchawa ila mi naamini bado tuna wazalendo kwenye jeshi hilo ambao hawafurahishwi na mabaya yanayoendelea nchini.

Wakishampata huyo mtu wanaweka kila linalowezekana ili ashinde ikiwezekana hata mbinu wanazozitumia kuwashindisha wana ccm zitumike ili tu mfumo ubadilike. Ccm wanainyonya sana nchi hii na bilia kuiondoa kuna rais atakuja atakosa ashike wapi ili kuiendesha nchi.
 
Nadhani ili apatikane mtu bora kupitia upinzani kwanza inatakiwa usalama wa taifa upandikize mtu kule ambaye ni mzalendo hata kama atatoka ccm au kokote maana wao wana siri kubwa za nchi hii japo wameamua kuimba nyimbo za uchawa ila mi naamini bado tuna wazalendo kwenye jeshi hilo ambao hawafurahishwi na mabaya yanayoendelea nchini.

Wakishampata huyo mtu wanaweka kila linalowezekana ili ashinde ikiwezekana hata mbinu wanazozitumia kuwashindisha wana ccm zitumike ili tu mfumo ubadilike. Ccm wanainyonya sana nchi hii na bilia kuiondoa kuna rais atakuja atakosa ashike wapi ili kuiendesha nchi.
Usalama wenyewe hawapo salama kwa mifumo ya nchi yetu. Tuimbe tu mapambio, nchi hii alishaikosea nyerere kitambo. Hatutaweza kuirekebisha sisi ma “bwana wadogo”
 
Hao vilaza haitakaa itokee washinde kura za wakulima na ndio asilimia 70 ya wapiga kura
wanaowambia bandari imeuzwa, mara sukari inaiibiwa, yaani hata wenyewe wanashangaa hivyo vitu vinahusiana nini na mashamba yao.
 
Siku hiyo majangili ya CCM yote yatakuwa jela
Kama uongozi tu wa umoja wa vyama vya upinzani unashindikana, kila mtu anataka awe kichwa, mnadhani uongozi wa serikali mtaiweza..? No way. Me nawaombea Mungu mpate wabunge wengi ila kwenye Urais, upinzani watulie tu
 
Kama uongozi tu wa umoja wa vyama vya upinzani unashindikana, kila mtu anataka awe kichwa, mnadhani uongozi wa serikali mtaiweza..? No way. Me nawaombea Mungu mpate wabunge wengi ila kwenye Urais, upinzani watulie tu
Akili ako haina akili mkuu
 
Ni kana kwamba makada wa chama changu ccm wanadmfukuzana na muda kwa kukopa na kukuza deni la taifa kuwa kasi sana huku rasilimali zikibebwa na wageni KWA kisingizio cha mikataba ya uwekezaji!!

Najaribu kuvuta picha tuendapo napaona pagumu n hatuna pa kushika bila kujali nani atakua mshika dola!

Ccm itakua radhi kuuachia upinzani serikali pale watakapoona hakuna pa kushika na raia wamechoka na kupigika na maisha huku rasilimali zimebebwa na wageni KWA mikataba ya karne!!

Ndipo upinzani utashindwa kuendesha serikali na kuidai tanganyika kikatiba ilu kubatilisha mikataba ya rasilimali iliyoingiwa wakati nchi ukiwa Tanzania kabla!!

Mbinu pekee itakua ni kudai serikali tatu ili Tanganyika ipatikane na serikali mpya ya Tanganyika ifumue mikataba upya kuokoa wananchi hapo itakua too late!!

Mungu ibariki Tanzania!
Samia pekee yake amekopa trillion 30 na hakuna cha maana alichofanya
 
Back
Top Bottom