Ikitokea upinzani ukashika DOLA utakuta nchi ipo hoi bin taaban.

Ikitokea upinzani ukashika DOLA utakuta nchi ipo hoi bin taaban.

Hofu yangu sio utegemezi, sioni kikubwa cha tofauti kitakachofanywa na upinzani kwa Tanzania hii.
Ndio hapo Mkuu unapo kosea! Kwani hao wapinzani waliwahi kuongoza Nchi hii? Wape nafasi, ili tunaone katika matendo na sio katika kufikirika. Mbona Mh. Hayati Magufuli baada ya kuwakosa watu wenye sifa za kuongoza Nchi ndani ya Chama chake kinachotawa aliamua kuwa bembeleza vijana wa upinzani na kuwapa vyeo vya kiutendaji vya juu. TUBADILIKE
 
Ni kana kwamba makada wa chama changu ccm wanadmfukuzana na muda kwa kukopa na kukuza deni la taifa kuwa kasi sana huku rasilimali zikibebwa na wageni KWA kisingizio cha mikataba ya uwekezaji!!

Najaribu kuvuta picha tuendapo napaona pagumu n hatuna pa kushika bila kujali nani atakua mshika dola!

Ccm itakua radhi kuuachia upinzani serikali pale watakapoona hakuna pa kushika na raia wamechoka na kupigika na maisha huku rasilimali zimebebwa na wageni KWA mikataba ya karne!!

Ndipo upinzani utashindwa kuendesha serikali na kuidai tanganyika kikatiba ilu kubatilisha mikataba ya rasilimali iliyoingiwa wakati nchi ukiwa Tanzania kabla!!

Mbinu pekee itakua ni kudai serikali tatu ili Tanganyika ipatikane na serikali mpya ya Tanganyika ifumue mikataba upya kuokoa wananchi hapo itakua too late!!

Mungu ibariki Tanzania!
NI KWELI KWA HII MIKOPO YA KIJINGA MNAYOCHUKUA LEO HILO LIKO WAZI
 
Ndio hapo Mkuu unapo kosea! Kwani hao wapinzani waliwahi kuongoza Nchi hii? Wape nafasi, ili tunaone katika matendo na sio katika kufikirika. Mbona Mh. Hayati Magufuli baada ya kuwakosa watu wenye sifa za kuongoza Nchi ndani ya Chama chake kinachotawa aliamua kuwa bembeleza vijana wa upinzani na kuwapa vyeo vya kiutendaji vya juu. TUBADILIKE
Mtu anayeongoza amefeli wapewe wengine
 
Back
Top Bottom