Ikiwa Baraza la Mawaziri litavunjwa, Napendekeza Mkuchika kwa Umri wake atamfaa Mama

Ikiwa Baraza la Mawaziri litavunjwa, Napendekeza Mkuchika kwa Umri wake atamfaa Mama

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
 
Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Ndio Tanzania itaendelea kuwa maskini kwa upuuzi huu!
 
Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Uyo mkuchika apumzike ili ajiuguze kwanza apate muda wa kucheza na wajukuu
 
Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Lukuvi ana weza kuwa Pm bora. Huyu baba ametulia. Hata majibu yake hayana fitna
 
Duh! Hivi hamchoki na haya majina? Tangu tunazaliwa tunayasikia yako serikalini hadi leo na sisi ni watu wazima bado mnataka yaendelee kuwepo? Taifa limepungukiwa watu kiasi hiki?
 
Kila uchao kuwaza nani akuongoze, hakuna kuwaza namna gani utajiongezea kipato!
 
Duh! Hivi hamchoki na haya majina? Tangu tunazaliwa tunayasikia yako serikalini hadi leo na sisi ni watu wazima bado mnataka yaendelee kuwepo? Taifa limepungukiwa watu kiasi hiki?
Mkuu siasa ina maajabu, hayo ndiyo yanafanyika. Kijana atamsumbua huyu Mama na kujikuta akivunja tena Baraza
 
Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Mkuchuka ni mzee mwenye majukumu mazito sana nchi hii, ni sawa na moja ya mizizi mikuu katika shina la Mti, aachwe na majukumu yake, Waziri mkuu anamajukumu mengi ya kukimbiakimbia tutammalizia barabarani bure
 
Sisi kiapumbele chetu ni kuondoa watu wa Kanda ya ziwa na walio wakiristu.
Yaani ukisikia mtu hajamung'unya maneno ndiyo wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Kwanini Asiwe mzee NDUGAI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom