Ikiwa Baraza la Mawaziri litavunjwa, Napendekeza Mkuchika kwa Umri wake atamfaa Mama

Ikiwa Baraza la Mawaziri litavunjwa, Napendekeza Mkuchika kwa Umri wake atamfaa Mama

Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Babu Tale anafaa kuwa Waziri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo usilolijua ni kuwa SAMIA emewekwa hapo na Kikwete,na Majaliwa amewekwa hapo na Kikwete na ni Ndugu yake Mke wa Kikwete.

Hili litawezekana kama umewasiliana na Kikwete,vingenevyo endelea kuota.Kama Magufuli alishindwa kumtoa Majaliwa ataweza SAMIA???
 
Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Acheni kampeni za hovyo, huyu mzee akapumzike wapo wengi wenye uwezo wa hiyo nafasi kwanza hana jipya
 
Duh! Hivi hamchoki na haya majina? Tangu tunazaliwa tunayasikia yako serikalini hadi leo na sisi ni watu wazima bado mnataka yaendelee kuwepo? Taifa limepungukiwa watu kiasi hiki?
Waambie bila soni anamtaja huyo mzee
 
Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.

Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.

Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Nchi yenye vijana wa mipango..yaan mtendaj mkuu wa serikal awekwe mzee ambae umri umeenda kisa tu siasa et hatokua mwiba kwake?..nawew kijana timamu kabisa unaombea hilo..aisee...
 
Hivi huyu mkcuchika hana wajukuu?
Akikaa mahali nusu saa tu kalala, wa nini sasa huyu mtu!
 
Back
Top Bottom