Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Hawezi kumuamini tena. Rejea kujiuzulu kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kumuamini tena. Rejea kujiuzulu kwake.
Aiisema VIBAYA ZENJI akiwa KANISANI.Lukuvi ana weza kuwa Pm bora. Huyu baba ametulia. Hata majibu yake hayana fitna
Aiisema VIBAYA ZENJI akiwa KANISANI.
Tafuta Clip, hutoamini macho na masikio yako. "LAZIMA TUWAONGOZE WASIJE WAKALETA DINI YAO".Alisemaje?
Babu Tale anafaa kuwa Waziri mkuuTetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.
Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.
Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Unakumbuka kauli yake kuhusu zanzibar wewe?Lukuvi ana weza kuwa Pm bora. Huyu baba ametulia. Hata majibu yake hayana fitna
... lina maana 2 Chief; be specific!Nina kipato kizuri tu. Mimi ni Hustler, ukitaka nitakupa hata ajira.
Huyu muhehe munyakidada!!Lukuvi ana weza kuwa Pm bora. Huyu baba ametulia. Hata majibu yake hayana fitna
Acheni kampeni za hovyo, huyu mzee akapumzike wapo wengi wenye uwezo wa hiyo nafasi kwanza hana jipyaTetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.
Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.
Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Unakumbuka kauli yake kuhusu zanzibar wewe?
Waambie wanakaa wanachaguana huko vijiweni wanaleta JF ili wapate mashabikiNdio Tanzania itaendelea kuwa maskini kwa upuuzi huu!
Waambie bila soni anamtaja huyo mzeeDuh! Hivi hamchoki na haya majina? Tangu tunazaliwa tunayasikia yako serikalini hadi leo na sisi ni watu wazima bado mnataka yaendelee kuwepo? Taifa limepungukiwa watu kiasi hiki?
Nchi yenye vijana wa mipango..yaan mtendaj mkuu wa serikal awekwe mzee ambae umri umeenda kisa tu siasa et hatokua mwiba kwake?..nawew kijana timamu kabisa unaombea hilo..aisee...Tetesi zimezagaa kuwa Baraza lote litafumuliwa na kusukwa upya. Inadaiwa hata waziri Mkuu ataguswa.
Mawaziri wakuu wengi wamekuwa na ndoto ya urais. Hivyo Mama asijitege kumteua kijana kwani atakuwa mwiba kwake. Amtafute Mzee mbunge asiye na Cha kupoteza tena aliyeshiba umri na kumteua waziri Mkuu. George Mkuchika atamfaa zaidi Rais Samia kwa usalama wa cheo chake kuelekea 2025. Huyu mzee ndiye Mbunge mzee kuliko wote bungeni.
Vijana waongoze wizara na waje na mabadiliko mapya yenye kutoa majawabu kwa changamoto zetu.
Kwa familia yake na wasafi na wapenzi wawasafi anawafaa si kwa Taifa
Musukuma Waziri wa mambo ya nje.
Likuvi ametulia sana
DuuhhTafuta Clip, hutoamini macho na masikio yako. "LAZIMA TUWAONGOZE WASIJE WAKALETA DINI YAO".