Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Nani alikuwa muhamiaji haramu miaka 300 iliyopita na kulikuwa hakuna nchi iliyoitwa Congo au Tanzania, sasa tulia mshindi ataamua sio wakabila na wajinga wasioelewa kitu, watu wenye akili kama yako ndio maana M23 ilianzishwaSitaki ligi na Wajinga, Hakuna nisichokijua kuhusu Banyamulenge, lakini hawana asili ya Congo na wala hawatokuja kuwa nayo hata kama wamekaa miaka elfu moja, asili yao haikuwa Congo walikuwa wahamiaji haramu na watabaki kuwa haramu na ni wazi wanasaidiwa na Majeshi ya Rwanda
Jamaa anafahamu vyema namna ya kucheza na Mabeberu..jeshi la Drc lilijisalimisha.
..jeshi la Burundi lilitokomea.
..M23 wakateka mji wa Goma.
..Rwanda pamoja na udogo wake ndiyo namba 2 ktk kuchangia vikosi vya kulinda amani vya UN
..Kagame ana pesa nyingi mno kwa ajili ya vita.
... this uncircumcised philistine can't scare all the people for all the time!Tutapoteza territories kiboya mno
PkKwa sasa ni nani anayeogopeka Afrika?
Mpaka kule Afrika magharibi wanamuogopa?
Hivi Rwanda imejitosheleza sana kwenye suala la RasilimaliHizo ndio donor country zinazoipa jeuri Rwanda kila mwaka anaingiziwa mabilioni ya dollars utamwambia nini
Waambie jeshi lako waingie front Kama rahisi ivyo
Mimi si Msemaji wa Chadema kwenye jambo hili, hapa nimelileta kama Mwandishi wa JFJe huu ndio msimamo wetu CHADEMA wa jumping on bandwagon ya kulaumu Rwanda?
Au sisi foreign policy yetu iwe ni Mazungumzo kati ya pande zote kwenye mgogoro huo?
Kwahiyo hayo ni mawazo yako binafsi?Mimi si Msemaji wa Chadema kwenye jambo hili, hapa nimelileta kama Mwandishi wa JF
Wahutu wawe wakwanza kuzungumza na kagame, Ili warudi kwao Rwanda.Je huu ndio msimamo wetu CHADEMA wa jumping on bandwagon ya kulaumu Rwanda?
Au sisi foreign policy yetu iwe ni Mazungumzo kati ya pande zote kwenye mgogoro huo?
Waweke silaha chini halafu warudi Rwanda wakaongelee huko kwao.Wahutu wawe wakwanza kuzungumza na kagame, Ili warudi kwao Rwanda.
Swali zuriMimi najiuliza kwa Nini Kagame anataka serikali ya DRC ifanye mazungumzo na M23 wakati yeye hataki kufanya mazungumzo na Wahutu/FDRL?
Si mawazo yangu binafsi na wala siandiki kwa niaba ya Chadema, Bali huu ndio ukweli unaofahamika kote dunianiKwahiyo hayo ni mawazo yako binafsi?
Pole sana umelishwa Propaganda, sisi Wapinzani ambao hivi karibuni titachukua Dola lazima tutumie akili zetu kufukiri na sio kubeba Propaganda za Nchi za magharibi kupitia UN.Si mawazo yangu binafsi na wala siandiki kwa niaba ya Chadema, Bali huu ndio ukweli unaofahamika kote duniani