kwa ujinga huu, lazima Kiranga apate nguvu.
Nafsi hai=udongo+pumzi ya Mungu. hivi vitu vikitengana hakuna uhai wala kujua chochote
Mwa 2:7 SUV
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
SOMA VIZURI biblia yako ili usituabishe tunaoiamini
Mhubiri 9:5
Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini wafu hawajui chochote, hawana tuzo zaidi, hata kumbukumbu yao imesahaulika.
Mhubiri 9:10
Kila unachotaka kufanya kifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima huko kuzimu unakokwenda.
Yale ya tajiri aliyekufa akakutana na tajiri ni mifano tu
Mfano kuna sehemu kwenye hicho kisa inasema yule masikini alikaa kwenye kifua cha Ibrahim, sasa kama masikini wakifa wanakaa kwenye kifua cha Ibrahim ,hicho kifua ni kipana kiasi gani