Ikiwa mtu anakutawala, anakuibia anakunyima haki yako anakuwa amekuzidi akili na maarifa

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Vyama vya upinzani vinakosa visionary people and great thinkers.

CCM hawana mbinu za kutawala, kuongoza wala kutoa mwelekeo sahihi wa nchi .

Ila unfortunately vyama vya upinzani vinakwama sehemu moja.

Wanashindwa kuelewa watu wanahitaji nini na ni aina gani ya akili za wananchi.

Natoa mwongozo ufuatao.

Neno Democracy watz 90% hawaelewi maaana yake

Pia 90% ya Watanzania hawana elimu ya uraia

Na 90% ya watz hawajitambu most of them ni eat, sex. Sleep oriented.

So ili uwapate hawa watz 90% ambao ni uncivilized people

Don't speak with them about democracy

Don't speak with them about civil rights.

But speak with them about their own interests.

Mfano :

Vijana graduates -ongea kuhusu ajira

Mama ntilie ongea kuhusu haki zao , mitaji n.k

So tukifanya mambo Kama haya tunaweza kufanikiwa kuiondoa ccm madarakani

Watu wajinga huwa wanaeaza kula , ngono , kulala sasa ili uwapate ongerea interest zao.

Hakuna MTU wa kushindwa kukusapoti ikiwa umeamua kuongea kuhusu maslahi yake.

Ccm kuwa hapo walipo sio kuwa wanalindwa na police au nn ni kuwa wamekosa smart people wa kuwaondoa

Hizi njia wanatumia Chadema , Act , Cuf ni wrong approach
 
You have everything to show them by action how they should do! Tunarudi kule kule. Wapenzi wa mpira ni ''mafundi'' kuliko makocha.
 
Strange.

Hao watu wajinga, uncivilized, wasioelewa demokrasia kuna tatizo gani wakiendelea kutawaliwa na CCM? Wanakosa nini?
 
Wacha waendelee kutawaliwa na CCM Kama ni wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…