Ikiwa nitasema uongo ili kuokoa maisha yangu au ya mtu mwingine , Je nitakuwa nimetenda dhambi?

Ikiwa nitasema uongo ili kuokoa maisha yangu au ya mtu mwingine , Je nitakuwa nimetenda dhambi?

Nyaputo

Member
Joined
Mar 23, 2023
Posts
67
Reaction score
158
Kuna nyakati katika maisha yetu inatubidi au utokea tuseme uwongo ili kuzuia hatari mbalimbali pamoja kuokoa maisha yetu au ya watu wengine.

Je kufanya hivyo ni dhambi na ni chukizo kwa mwenyezi Mungu?

Mithali 6:16-17 inasema
16Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;Naam, vitu saba vinavyomchukiza:
17Macho ya kiburi,ulimi wa uwongo, na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia.

Nawasilisha🙏🙏🙏
 
Kuna nyakati katika maisha yetu inatubidi au utokea tuseme uwongo ili kuzuia hatari mbalimbali pamoja kuokoa maisha yetu au ya watu wengine.

Je kufanya hivyo ni dhambi na ni chukizo kwa mwenyezi Mungu?

Mithali 6:16-17 inasema
16Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;Naam, vitu saba vinavyomchukiza:
17Macho ya kiburi,ulimi wa uwongo, na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia.

Nawasilisha[emoji120][emoji120][emoji120]
Sio zambi
 
Ni dhambi japo kwa waislamu wanasema si dhambi...maana hawa jamaa wanasema kula nguruwe ni dhambi ila kama una njaa na hakuna chakula kingine zaidi ya nguruwe ni halali kula, kwa hiyo nahisi hata hapa wanaweza kusema uongo wa kumnusuru mtu ni halali
 
Qpo
 

Attachments

  • Screenshot_20220112-104405_Lite.jpg
    Screenshot_20220112-104405_Lite.jpg
    25.6 KB · Views: 7
Ni dhambi maana unakuwa umevunja amri ya Mungu inayokataza kusema uongo.
Ngoja nikupige darasa kaa kwa kutulia :

Uovu hauna ukweli , yaani chochote kinachofanyika ili kukamilisha uovu ( mchakato wote) huwa ni muovu ,

Mfano mtu anataka kumuua let say jirani yako , na unajua hilo , anakuuliza huyu jirani yuko wapi we unamjibu yuko pale , jua tu kuwa umehusika kwenye chain ya huo uovu , na ulichofanya ni uovu ,.... Ulichotakiwa ni kufanya kuzuia huo uovu na ndo ukweli wenyewe

Kwenye Biblia kuna Mwanamke anaitwa Rahabu , aliwaficha wapelelezi , wauaji walipokuja wakamuuliza akawaambia wamepita wameenda hv kumbe anao ndani , yule mama aliingizwa kwenye ukoo wa kumzaa Yesu
 
Sijawahi ona Viongozi wa serikali wanaongea ukweli..
Actually hata wazazi wetu wametulea Kwa kutujaza uongo mwingi sana..

Maisha bila kuongea uongo it is almost impossible..
Viongozi wa dini ndo mabingwa WA kuongea uongo
 
Ni dhambi japo kwa waislamu wanasema si dhambi...maana hawa jamaa wanasema kula nguruwe ni dhambi ila kama una njaa na hakuna chakula kingine zaidi ya nguruwe ni halali kula, kwa hiyo nahisi hata hapa wanaweza kusema uongo wa kumnusuru mtu ni halali
 
Kuna nyakati katika maisha yetu inatubidi au utokea tuseme uwongo ili kuzuia hatari mbalimbali pamoja kuokoa maisha yetu au ya watu wengine.

Je kufanya hivyo ni dhambi na ni chukizo kwa mwenyezi Mungu?

Mithali 6:16-17 inasema
16Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;Naam, vitu saba vinavyomchukiza:
17Macho ya kiburi,ulimi wa uwongo, na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia.

Nawasilisha🙏🙏🙏
Hekima ni nini?
 
Sijawahi ona Viongozi wa serikali wanaongea ukweli..
Actually hata wazazi wetu wametulea Kwa kutujaza uongo mwingi sana..

Maisha bila kuongea uongo it is almost impossible..
Viongozi wa dini ndo mabingwa WA kuongea uongo
Kwaiyo haijalishi unadanganya kwa nia nzuri au mbaya still ni zambi?
 
Ni dhambi japo kwa waislamu wanasema si dhambi...maana hawa jamaa wanasema kula nguruwe ni dhambi ila kama una njaa na hakuna chakula kingine zaidi ya nguruwe ni halali kula, kwa hiyo nahisi hata hapa wanaweza kusema uongo wa kumnusuru mtu ni halali
Nimekuelewa kiongozi 😂
 
Ngoja nikupige darasa kaa kwa kutulia :

Uovu hauna ukweli , yaani chochote kinachofanyika ili kukamilisha uovu ( mchakato wote) huwa ni muovu ,

Mfano mtu anataka kumuua let say jirani yako , na unajua hilo , anakuuliza huyu jirani yuko wapi we unamjibu yuko pale , jua tu kuwa umehusika kwenye chain ya huo uovu , na ulichofanya ni uovu ,.... Ulichotakiwa ni kufanya kuzuia huo uovu na ndo ukweli wenyewe

Kwenye Biblia kuna Mwanamke anaitwa Rahabu , aliwaficha wapelelezi , wauaji walipokuja wakamuuliza akawaambia wamepita wameenda hv kumbe anao ndani , yule mama aliingizwa kwenye ukoo wa kumzaa Yesu
Yah Kwaiyo uwongo unaweza kutumika kwa nia nzuri au nia mbaya inategemea tu ulikuwa na nia gani wakati unadanganya si ndio mkuu?
 
Uongo unaokatazwa ni wa kusingizia. (Kutoka 20:16) Imeandikwa usimshuhudie jirani yako uongo.

Kusema jambo la uongo ili kumlinda mtu ni kitu ambacho ata kwenye biblia kimeandikwa mfano Abrahamu alidanganya kwamba Sarah ni dada yake na sio mkewe ili tu asiuwawe (mwanzo 12:10-16 na mwanzo 20:1-18)
 
Back
Top Bottom