- Thread starter
- #141
Kuna mwanafunzi mmoja baada ya kusoma matokeo ya mtihani wake, akaona amepata 49.05, Kwa kuwa palikuwa na chance ya kukata rufaa,Suijaona hoja hata moja; kuyafanya maswala makuu ya nchi hii kuelezwa kwa mfano 'abstract' kama huu unao uweka mbele kuwa kielelezo.
Akalipia rufaa Ili mtihani wake urudiwe kusahihishwa mbele ya Lecture yule,
Sasa siku ilipofika, mtihani ukaletwa usahihishaji ukarudiwa UPYA,
Mwalimu yule wa kihaya aliyejulikana Kwa Jina la Bishagazwe akasahihisha na kurudia marks zile zile 49.05,
Sasa mwanafunzi yule akalia sana na kumwomba mwalimu atafute namna ya kujaza 0.5 Ili achomoke kwenye mtihani Ule akidai jambo lile liko chini ya uwezo wake.
Mwalimu yule akatulia Kwa muda Kisha akampa pole sana mwanafunzi yule, na mwanafunzi yule aliporudi katika Hali ya kuchangamka akiamini mwalimu amemuelewa, haya ndiyo majibu ya mwisho ya mwalimu.
Mwalimu alimjibu, nasikitika sana na ningependa nikusaidie mwanangu, ila Sina pa kuitoa hiyo 0.5, na haipo namna ingine zaidi ya kurudia mwaka Kwa SoMo hili Moja.
......mwisho wa simulizi.....
Sasa Kalamu umeamua kabisa kutoona HOJA yoyote ilhali mwanzoni uliniuliza nini Hasa Nia ya kuandika thread hii🤔