Ikiwa umekasirishwa sana huwa unafanya nini kupunguza hasira yako?

Ikiwa umekasirishwa sana huwa unafanya nini kupunguza hasira yako?

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
233
Reaction score
298
Wakuu kwema,

Kama mada inavyojieleza, huwa unafanya nini kupunguza hasira yako ikitokea umekasirishwa sana ili usilete madhara kwako na kwa uliyemkasirikia? Maana waliosema hasira hasara hawakukosea, mtu akiwa hasira anaweza kufanya chochote na kujuta baadae kwa kitendo alichofanya.

Mimi nikiwa na hasira nakula zangu mziki wa taratibu mpaka usingizi utanichukua, na kila kitu kinabaki huko huko ndotoni, japokuwa siku nyingine huwa vinagoma mpaka nimchane (kwa maneno) aliyenikosea ndio hasira inapungua.

Wewe huwa unafanyaje kupunguza hasira yako?
 
Wakuu kwema,

Kama mada inavyojieleza, huwa unafanya nini kupunguza hasira yako ikitokea umekasirishwa sana ili usilete madhara kwako na kwa uliyemkasirikia? Maana waliosema hasira hasara hawakukosea, mtu akiwa hasira anaweza kufanya chochote na kujuta baadae kwa kitendo alichofanya.

Mimi nikiwa na hasira nakula zangu mziki wa taratibu mpaka usingizi utanichukua, na kila kitu kinabaki huko huko ndotoni, japokuwa siku nyingine huwa vinagoma mpaka nimchane (kwa maneno) aliyenikosea ndio hasira inapungua.

Wewe huwa unafanyaje kupunguza hasira yako?
Natafuta punching bag tu..

Zitapigwa ngumi hapo, mpaka hasira itakata

Au last option napiga nyeto
 
Wakuu kwema,

Kama mada inavyojieleza, huwa unafanya nini kupunguza hasira yako ikitokea umekasirishwa sana ili usilete madhara kwako na kwa uliyemkasirikia? Maana waliosema hasira hasara hawakukosea, mtu akiwa hasira anaweza kufanya chochote na kujuta baadae kwa kitendo alichofanya.

Mimi nikiwa na hasira nakula zangu mziki wa taratibu mpaka usingizi utanichukua, na kila kitu kinabaki huko huko ndotoni, japokuwa siku nyingine huwa vinagoma mpaka nimchane (kwa maneno) aliyenikosea ndio hasira inapungua.

Wewe huwa unafanyaje kupunguza hasira yako?
Mimi huwa nasikiliza hip hop za mbele tu
 
Wakuu kwema,

Kama mada inavyojieleza, huwa unafanya nini kupunguza hasira yako ikitokea umekasirishwa sana ili usilete madhara kwako na kwa uliyemkasirikia? Maana waliosema hasira hasara hawakukosea, mtu akiwa hasira anaweza kufanya chochote na kujuta baadae kwa kitendo alichofanya.

Mimi nikiwa na hasira nakula zangu mziki wa taratibu mpaka usingizi utanichukua, na kila kitu kinabaki huko huko ndotoni, japokuwa siku nyingine huwa vinagoma mpaka nimchane (kwa maneno) aliyenikosea ndio hasira inapungua.

Wewe huwa unafanyaje kupunguza hasira yako?
Naondoka eneo la tukio ama kutoongea chochote.
 
Mi tayari nishakasirishwa hapa na fundi nguo..
Yaani ningekua na bunduki nafumua kichwa kabisa aaagh
N hata sijui nafanyaje
Unatakiwa ujue chanzo cha hasira zako...
Kama hapo wala sio fundi nguo..
Wewe unajikasirikia mwenyewe Kwa kushindwa afford kununua nguo unazotaka Hadi unaenda Kwa mafundi nguo WA uswazi wasumbufu....so hasira zako unazielekeza Kwa fundi nguo ila kiukweli Una hasira na wewe mwenyewe...
 
Chap chede kwenye mafegi kwanza kupoza kichwa maana hii kichwa angu ikipanda hasira naeza mmwaga mtu ubongo bila kuwaza mara mbili
 
Unatakiwa ujue chanzo cha hasira zako...
Kama hapo wala sio fundi nguo..
Wewe unajikasirikia mwenyewe Kwa kushindwa afford kununua nguo unazotaka Hadi unaenda Kwa mafundi nguo WA uswazi wasumbufu....so hasira zako unazielekeza Kwa fundi nguo ila kiukweli Una hasira na wewe mwenyewe...
🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌
Mkuu bana.. yaani mimi tena ndo nimejitafutia hasira.. kuwa seriously basi
 
natafuta duka la throne na beti dau kubwa,,nimeacha kubet lakini nikikasirika naenda kubet na nafatilia mechi mpk mwisho. nikishinda hasira zote zinakata na naenda kufanya shopping k/koo nikiliwa yaani lazima nikeshe nagonga tu.
 
Mimi nikiwa na hasira hua nawaza kula tu mda wote,, na ntakula kwelikweli hadi hasira ziishe🙈🙈
 
Back
Top Bottom