Black Opal
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 233
- 298
- Thread starter
- #21
πππkibao kimegeukaπ€π€π€ππππ
Mkuu bana.. yaani mimi tena ndo nimejitafutia hasira.. kuwa seriously basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππkibao kimegeukaπ€π€π€ππππ
Mkuu bana.. yaani mimi tena ndo nimejitafutia hasira.. kuwa seriously basi
Stock...dah!huwa natafuta moja ya stock zangu za karibu mda huo tunajifungui tu na kupigana mikasi, hapo kichwa huwa kinatulia kabisa.
πππ kwaiyo ukishindwa hasira zinakuwa mara mbilinatafuta duka la throne na beti dau kubwa,,nimeacha kubet lakini nikikasirika naenda kubet na nafatilia mechi mpk mwisho. nikishinda hasira zote zinakata na naenda kufanya shopping k/koo nikiliwa yaani lazima nikeshe nagonga tu.
Mambo ya kula vitu vitamu, chocolate...cakeMimi nikiwa na hasira hua nawaza kula tu mda wote,, na ntakula kwelikweli hadi hasira ziisheππ
acha kabisa ila cha ajabu maraa nyingi nakula ππππ kwaiyo ukishindwa hasira zinakuwa mara mbili
Chochote tu kilicho mbele yangu hua nakula...au natafuta kitu ambacho nlikua natamani kula mda mrefu...yani hasira zangu zitaishia kwenye kutafuta hicho kitu hadi nikipate by any cost..hapo ndo roho yangu itatuliaMambo ya kula vitu vitamu, chocolate...cake
Nimetulia tuu...Pole sana Mkuu, usije ukafanya jambo ukaja kujuta baadae
Noma sanaacha kabisa ila cha ajabu maraa nyingi nakula π
Ety ndo namshangaa huyu jamaa..πππkibao kimegeuka
Aisee... nafikiria kwa mwezi umekasirishwa na watu nne....unabongeka fastaChochote tu kilicho mbele yangu hua nakula...au natafuta kitu ambacho nlikua natamani kula mda mrefu...yani hasira zangu zitaishia kwenye kutafuta hicho kitu hadi nikipate by any cost..hapo ndo roho yangu itatulia
ππ anaandaliwa bomuNimetulia tuu...
Nipo zangu jf ila kuna kitu namwandalia
Hamna nipo kawaida tu,,, sema hua sipendagi makasiriko kwahiyo rahisi kuyaepuka ila ikitokea yamenifika shingoni ndo hua nafanya hivyoAisee... nafikiria kwa mwezi umekasirishwa na watu nne....unabongeka fasta
Hiroshima...ππ anaandaliwa bomu
aisee mbona mimi huyu,Mimi nikiwa na hasira hua nawaza kula tu mda wote,, na ntakula kwelikweli hadi hasira ziisheππ
Hahaahhahaπππππaisee mbona mimi huyu,
nakumbuka chuo nilipata mahasira na mastress ya matokeo basi nilienda kula pizza two times (first time) nikatoka hapo nikapiga kitimoto nusu nikakaa kama nusu mbele nikaenda kupiga urojo hahaha.
nilitumia karibia bajeti nzima ya mwezi.
yani hasira zilikata baada ya kushiba, nisingeshiba sijui ningekula nini tenaπHahaahhahaπππππ