Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
naenda kijiweni kupiga story 2,3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lita ngapiKunywa maji
🤣🤣🤣 dahUnatakiwa ujue chanzo cha hasira zako...
Kama hapo wala sio fundi nguo..
Wewe unajikasirikia mwenyewe Kwa kushindwa afford kununua nguo unazotaka Hadi unaenda Kwa mafundi nguo WA uswazi wasumbufu....so hasira zako unazielekeza Kwa fundi nguo ila kiukweli Una hasira na wewe mwenyewe...
😃😃 huku jf mm ndio ufanye kazi kunitoa kwenye reli. Ila duniani nakasirika upesi, na nitawanyamazia hapo mpk hasira ishukeMi mpaka nikasirike umefanya kazi (sijali).Ila nikifika kikomo huwa natumia lugha za kuuzi sana.
Mama yangu mkubwa nilishawahi kumwambia kuanzia dakika hii tunaongea sikuheshimu tena.Akaitangazia dunia mi mwehu😄😄.Huku JF ni kuwa msanii msanii tu.😃😃 huku jf mm ndio ufanye kazi kunitoa kwenye reli. Ila duniani nakasirika upesi, na nitawanyamazia hapo mpk hasira ishuke
Wewe upo kama mimi..hadi hua najiuliza nisipofanya hivyo nini kitatokea😂😂yani hasira zilikata baada ya kushiba, nisingeshiba sijui ningekula nini tena😂
Duh, hapa ulitisha🤣🤣🤣🤣aisee mbona mimi huyu,
nakumbuka chuo nilipata mahasira na mastress ya matokeo basi nilienda kula pizza two times (first time) nikatoka hapo nikapiga kitimoto nusu nikakaa kama nusu mbele nikaenda kupiga urojo hahaha.
nilitumia karibia bajeti nzima ya mwezi.
Unatulia bila kuleta madhara👏👏Ukiwa umekasirika Sana. Kitu Cha kwanza kabisa. Hesabu moja mpaka kumi, Kisha chukua glasi ya maji. Yanywe yote. Thank me later.
😂😂Lita ngapi
10Lita ngapi
Njia nzur piahuwa natafuta moja ya stock zangu za karibu mda huo tunajifungui tu na kupigana mikasi, hapo kichwa huwa kinatulia kabisa.
Pia huwa nakula unyumba au napiga nyetoNatafuta punching bag tu..
Zitapigwa ngumi hapo, mpaka hasira itakata
Au last option napiga nyeto