Ikiwa wazazi wangu hawakubahatika kupata mtoto, mimi nitapata mtoto?

Ehee, Sasa hii ndio Inaitwa "Chit-chat". A perfect & well explained definition of Chit-chat. Heko to aise
 
Assumption 1: Hao ni walezi wako na sio wazazi wako ( Adopted Child)
Jibu: Ndio utapata watoto

Assumption 2: Wewe ni "Test tube baby"
Jibu: Una chansi za kupata watoto kwa njia ya kawaida lakini sio asilimia mia sababu unaweza kurithi matatizo ya wazazi wako (inategemea we ni ke/me pia). Pia Unaweza pata kwa njia hiyihiyo ya wazazi wako. Pia itategemea utakayekuwa nae kama na yeye hana matatizo.

Konklushen; Utapata Watoto
Mungu akipenda
 
[/QUOTE]Mambo ya adopt umeleta wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama najifunza English, pleas teach me.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwenyewe natafuta wa kunifundisha ukimpata ras simba uniambie toto [emoji8]
 
Ila jamaa anajua kuteka hisia za watu...alianza hi i hivi kwenye series ya safar ya kutoka kigoma....watu wakakesha hapa....dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukiona mtu mzima anaongea habari za kitoto ujue kuna walakini
Lakini pia ukiona mtu mzima anachangia katika habari za kitoto, ujue kuna zaidi ya walakini hapo.
 
Hebu rudia ulichoandika , andika tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…