Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

Kwa mara ya kwanza Mmawia naona umeongea kitu. It has to be so.
Naona akili sasa zimekurudia hasa baada ya huu msiba maana huijui kesho yako.

Mkate wa kila siku itakuwa ni tabu sana safari hii.

Nakushauri fanya maamuzi magumu urudi kijijini kwenu koromitje ukaanze kuvua nyingu
 
Hivi ile katiba ya warioba ilipendekeza hivi hivi au?
Ile ilikuwa sio katiba. Ilikuwa pendekezo la katiba. Kwa vile haikupitishwa, inabaki pendekezo tu na sio katiba.
 
Mimi ndo nimeanzisha huu mjadala, mmezoea kutisha watu, bull shit perish in hell!!
Sasa kama umeuanzisha unataka kujadili mwenyewe. Au unataka uunngwe mkono tu, wenye mawazo tofauti wanyamaze!
 
Naona akili sasa zimekurudia hasa baada ya huu msiba maana huijui kesho yako.

Mkate wa kila siku itakuwa ni tabu sana safari hii.

Nakushauri fanya maamuzi magumu urudi kijijini kwenu koromitje ukaanze kuvua nyingu
Dogo nilivuka umasikini miaka 22 iliyopita, na unaweza kupata aibu ukikutana na mimi macho kwa macho. Mimi ndio mmoja wa wenye mawazo huru kwa kuwa sitegemei maoni yangu yanipe chakula. Riziki ya kula, kusaza na ya kugawa ipo tuu, na mimi ni mdingi ki umri dogo.

Na mimi sio lazima niende Kolomije nisiko kujua, Usangi au Lyamungo Sinde kunanitosha. Muulize mwenyekiti wako kuhusu mimi atakuhabarisha.
 
Ebu wacha ujinga,hapa ni jukwaa huru hivyo tujenge tabia ya kuheshimu mawazo ya mwenzako hata kama hukubaliani nayo.
Mtoa post yupo powa kabisa, ni kweli hila zipo japo hatumaanishi Muheshimiwa Samia kafanya hivyo,laikni kunahaja ya kuangalia kipengele hicho.

Presidential is a One Comittiment, from his/her heart to lead a country. By the way Tumuunge mkono Rais wetu mpya, mwana Mama wa kwanza, ataweza vizuri, kikubwa ashauriwe vizuri na wataalamu na watu wakaribu yake. Aukubali ukweli bila kinyongo mazuri au mabaya .
Ilikuendeleza au kuahirisha kwa masrahi ya umme.

Piga Kazi Mama yetu.
 

Kwasababu hicho kipengele hakiwabebi wasukuma mliokuwa mnakula upepo chini ya jiwe, ndio unataka kifungu kimoja kibadilishwe kwa ajili ya wahuni wachache? Tunataka katiba mpya tena ile rasimu ya Warioba, na sio kubadili kifungu kimoja kwa ajili yenu wahuni wachache.
 

Acha mikwara ya kishamba ww mtoto.
 
Na sasa Biden anaafya mgogoro kinapiga mieleka tu anaanguka peke yake
 
Nchi jirani ilishawahi kutokea na Makamu Rais akatawala muda mrefu mpaka akastaafu. Kweli ni hatari sana kama ni mbinafsi na mpenda madaraka
 
Ebu wacha ujinga,hapa ni jukwaa huru hivyo tujenge tabia ya kuheshimu mawazo ya mwenzako hata kama hukubaliani nayo.
Kwani yangu sio mawazo?
Nimehoji kwann kauli ya kubadilisha katiba kuhusiana na VP kuwa Rais mleta mada ameileta leo wakati katiba siku zote ipo na yeye hakuwahi kuleta hyo hoja?

Nikauliza je mleta mada anateseka na Urais wa Samia?
Haya niambie ujinga wangu uko wapi?
 
Mkuu unaelewa maana ya mgombea mwenza? Nafasi wameigombania kwa pamoja, kwahiyo ni kama yao wote. Labda angalizo litolewe kwa vyama kuwa wa hakikishe both candidates are of equal capacity\potentials, otherwise it is too early to forecast and judge.
Nimeona mfano huko Kenya, kwenye kiti cha Gavana, mgombea mwenza antafuta njia ya kumuondoa Gavana ili yeye awe gavana. Naimetokea si mara moja. Lakini kwa kiti cha Rais walikua wajanja hawakuweka hicho kifungu.
 
Nafsi yangu inaniambia samia hatamaliza muda wake salama. Na kila nikichungulia Twitter nazidi kuogopa
 
Sasa kama umeuanzisha unataka kujadili mwenyewe. Au unataka uunngwe mkono tu, wenye mawazo tofauti wanyamaze!
Hapana mkuu, huyo jamaa kanishambulia utafikiri mimi ndo nimeanzisha huu uzi, wakati na mimi ni mchangiaji...mijitu mingine ni nuksi tupu utafikiri inatumwa kuja kutisha watu humu....
 
Kama anateseka subirini mtaona madhara yake.
Acha utabiri wa tunguli
Acha roho ya husda.
Katiba siku zote ilikuwepo na mlikuwa mnaiona kwanini hamkuleta hiyo mada?
Samia kaukapata udambwi udambwi mnaanza kuteseka[emoji1][emoji1][emoji1]
 

Sio jambo jepesi kama unavyofikiria. That’s why taifa letu lenye umri wa zaidi ya miaka 60 ndiyo limeshuhudia kwa mara ya kwanza VP akiapishwa kuwa Rais.

Isitoshe, this is not unique to Tanzania. Nchi nyingi sana zinatumia line of succession ya aina hii.
 
Una hoja nzuri
Lakini hata kikiomdolewa,kukawa na uchaguzi..naona bado mambo yatakuwa yaleyale...mtu anaweza fanya hila amuue Rais ili apate mwanya wa yeye kugombea.
Ili Rais aweze kuuawa usalama taifa unahusika 200%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…