babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Una akili ndogo Sana aiseeMama Samia anatosha kama unateseka nakushauri ungehama nchi kwa miaka 9,
Naam, akimaliza muhula huu atagombea tena na kuendelea kusongesha gurudumu.
Mmepania kumwaga ugali wa ndugu Bashiru Alli Kakurwa.Umewaza vizuri... Kwa jinsi Bashiru anavokabana na Suluhu akiwa VP, hofu yako ni dhahiri
Hahahah haya mambo haya 😂😂😂 niliwahi kusikia Mwamunyange alitolewa kwenye cheo mana alikuwa mfuasi wa babu wa Monduli, ila kuhusu tamaa mm nadhan yeyote anaweza kuwa na tamaa bila kuangalia cheo chake mfano kipindi cha Nyerere kuvamia Uganda ili kumtoa idd amini hvy kisheria n Uganda ilikuwa chini ya Tz lakin hatukuonyesha tamaa hizo 🤔🤔🤔Ni kweli hao hawapo, ila kupendekeza mkuu wa majeshi kuwa miongoni kati ya watu ambao wanaweza kushika nafasi ya Urais endapo yule aliyeko madarakani atakuwa hayupo kwa sababu zozote ikiwemo kifo sio sahihi maana ya yeye anaweza kushikwa na tamaa ya madaraka akaamua kumfitini aliyeko madarakani kwa njia za siri au kufanya uasi. Kwa hiyo Makamu wa Risi na Jaji mkuu ni sahihi kutokana na kuwa tayari wanafanya majukumu ya kitaifa; kasoro moja ni kwa Jaji mkuu kumtumia kuongoza/kutawala nchi kwenye mambo ya kisiasa.
Uraisi wa kuangukia sio?! Lakini wazo langu ni kumlinda Rais dhidi ya fitna na hila. Makamu angekuwa Rais wa mpito tukingoja uchaguzi mwingine na ikiwezekana na yeye ashiriki.Acha utabiri wa tunguli
Acha roho ya husda.
Katiba siku zote ilikuwepo na mlikuwa mnaiona kwanini hamkuleta hiyo mada?
Samia kaukapata udambwi udambwi mnaanza kuteseka[emoji1][emoji1][emoji1]
Tulia dawa ikuingie, chuki zimewajaa hadi mnatoka mvi kabla ya miaka yenu,Una akili ndogo Sana aisee
Hofu inatoka wapi?Watu wanaweza wasikuelewe hapa au hata usieleweke Kwao upesi ila umekuja si tu na Hoja nzuri na Muhimu lakini pia kuna Fumbo umelifumba hapa hasa kutokana na Tetesi za chini chini kuwa kuna Kundi fulani lenye Sifa ya Umafia na pia lina Pesa limecheza Mchezo wote Kiufundi kabisa na Mission ya Siku nyingi imekuwa Accomplished.
Nakubaliana nawe 100% juu ya Hoja yako Ndugu ili tuepuke Misiba mingine isiyo ya Kilazima huko mbeleni. Na hata aliyeshika hatamu sasa namshauri awe Makini kuliko wakati wowote kwani hata wanaomzunguka sasa wana Ubobezi mkubwa tu wa Kimafia na Wanajulikana kutokana na Washirika wao.
Ukubali ukatae, Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mi naangalia tu hizi senema.
Eti muheshimiwa rais Samia Suluhu tafadhalini jamani.
Majaliwa angetosha vizuri tu hapo.
Katiba imeandikwa kabla hujazaliwa hakuna kitu kimetokea leo dola kashika Mwanamke wa shoka mnaanza ufukunyuku,Uraisi wa kuangukia sio?! Lakini wazo langu ni kumlinda Rais dhidi ya fitna na hila. Makamu angekuwa Rais wa mpito tukingoja uchaguzi mwingine na ikiwezekana na yeye ashiriki.
Muache amepata ubweteUraisi wa kuangukia sio?! Lakini wazo langu ni kumlinda Rais dhidi ya fitna na hila. Makamu angekuwa Rais wa mpito tukingoja uchaguzi mwingine na ikiwezekana na yeye ashiriki.
Kinawatenga vipi wananchi ilhali kura wanapigiwa wote-Rais na Makamu wa Rais. Au ndio ile mnapiga kura kama unaaccept terms and conditions kwenye Internet!Hicho kipengele cha katiba ni kama kimewatenga wananchi ambao kimsingi ndio wenye jukumu la kuwaweka viongozi.
Halafu mbaya zaidi huyo Rais anayekuja anakuwa na mamlaka ya kuunda upya Baraza lake la mawaziri, na kuwateua wote, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wapya kama akipenda kufanya hivyo.
Hata mtu aliye nje ya mfumo wa utawala anaweza kumdhuru Rais aliye madarakani ama kwa nia ya moja kwa moja au kupitia wasaidizi wa Rais.
Nia yako ni kwamba pindi nafasi ya Urais inapokuwa wazi kwa sababu zozote ikiwemo kifo unataka uchaguzi mpya uitishwe.
Sio kweli kwamba hilo wazo lako halikuwemo kwenye moja ya uwezekano wa kuwekwa kwenye katiba lakini hatimaye kifungu kilicho salama zaidi ndicho kilichowekwa kuepusha mambo mengi oambayo yangesababisha matumizi ya gharama, vurugu, kukosa utulivu.
Sijui umewaza nini mpaka kufuikia hatua ya kutoa pendekezo hilo finye ambalo halijafikiria hasara na faida kisha ukaziweka kwenye mizania.
Wanasiasa ndio mnamatamanio ya kutaka uchaguzi ufanyike ili mpate manufaa yenu binafsi na sio wananchi. Una wasiwasi gani makamu wa Rais kuchukua nafasi hiyo ya juu kabisa ya utawala wa nchi?
Acha mikwara mbuzi wewe. Amwulize vipi mwenyekiti wake wakati unatumia fake ID?Dogo nilivuka umasikini miaka 22 iliyopita, na unaweza kupata aibu ukikutana na mimi macho kwa macho. Mimi ndio mmoja wa wenye mawazo huru kwa kuwa sitegemei maoni yangu yanipe chakula. Riziki ya kula, kusaza na ya kugawa ipo tuu, na mimi ni mdingi ki umri dogo.
Na mimi sio lazima niende Kolomije nisiko kujua, Usangi au Lyamungo Sinde kunanitosha. Muulize mwenyekiti wako kuhusu mimi atakuhabarisha.
Hata ukishindia kashata na maji ya kandoro unaweza kulidhika vilevile.Dogo nilivuka umasikini miaka 22 iliyopita, na unaweza kupata aibu ukikutana na mimi macho kwa macho. Mimi ndio mmoja wa wenye mawazo huru kwa kuwa sitegemei maoni yangu yanipe chakula. Riziki ya kula, kusaza na ya kugawa ipo tuu, na mimi ni mdingi ki umri dogo.
Na mimi sio lazima niende Kolomije nisiko kujua, Usangi au Lyamungo Sinde kunanitosha. Muulize mwenyekiti wako kuhusu mimi atakuhabarisha.
Hofu inatoka wapi?Watu wanaweza wasikuelewe hapa au hata usieleweke Kwao upesi ila umekuja si tu na Hoja nzuri na Muhimu lakini pia kuna Fumbo umelifumba hapa hasa kutokana na Tetesi za chini chini kuwa kuna Kundi fulani lenye Sifa ya Umafia na pia lina Pesa limecheza Mchezo wote Kiufundi kabisa na Mission ya Siku nyingi imekuwa Accomplished.
Nakubaliana nawe 100% juu ya Hoja yako Ndugu ili tuepuke Misiba mingine isiyo ya Kilazima huko mbeleni. Na hata aliyeshika hatamu sasa namshauri awe Makini kuliko wakati wowote kwani hata wanaomzunguka sasa wana Ubobezi mkubwa tu wa Kimafia na Wanajulikana kutokana na Washirika wao.