Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

Ni bahati nzuri kwamba safari hii aliyeupitia uchochoro huo kapita bila kukusudia, hakupanga iwe hivyo. Lakini natabiri kuwa baada ya watu kuuona uwezekano huo kuna watu wataanza kuufanya uwe mojawapo ya mikakati yao. Hii ni hatari kwa rais aliyeko madarakani. Nashauri utaratibu huu ufutwe haraka kwa maslahi ya taifa.
Makamu wa Rais abaki na nafasi yake hiyohiyo, akitaka urais asubiri muda ufike agombee.
Ikitokea bahati mbaya kama iliyotokea kwa hayati JPM, basi makamu awe kaimu rais kwa muda maalum (kama mwezi tu), chama chake kiteue mtu mwingine kwa utaratibu rasmi, jina lipelekwe bungeni kuthibitishwa awe rais hadi muda wa uchaguzi mkuu kwa mujibu wa kalenda utakapowadia.
KATIBA NDIO MAANA INAPIGIWA KELELE
 
Una nini na Bavicha? Why not UVCCM? Ameongea kitu very sensitive, nilidhani ungekuja na points kuntu badala yake unaandika ujinga?

Ni lini tutaweza kutenganisha National interest dhidi ya self greed??
Tulikuwa tunakusubiri wewe bwashee!
 
Ni bahati nzuri kwamba safari hii aliyeupitia uchochoro huo kapita bila kukusudia, hakupanga iwe hivyo. Lakini natabiri kuwa baada ya watu kuuona uwezekano huo kuna watu wataanza kuufanya uwe mojawapo ya mikakati yao. Hii ni hatari kwa rais aliyeko madarakani. Nashauri utaratibu huu ufutwe haraka kwa maslahi ya taifa.
Makamu wa Rais abaki na nafasi yake hiyohiyo, akitaka urais asubiri muda ufike agombee.
Ikitokea bahati mbaya kama iliyotokea kwa hayati JPM, basi makamu awe kaimu rais kwa muda maalum (kama mwezi tu), chama chake kiteue mtu mwingine kwa utaratibu rasmi, jina lipelekwe bungeni kuthibitishwa awe rais hadi muda wa uchaguzi mkuu kwa mujibu wa kalenda utakapowadia.
Ni ukweli hakika
 
Ni bahati nzuri kwamba safari hii aliyeupitia uchochoro huo kapita bila kukusudia, hakupanga iwe hivyo. Lakini natabiri kuwa baada ya watu kuuona uwezekano huo kuna watu wataanza kuufanya uwe mojawapo ya mikakati yao. Hii ni hatari kwa rais aliyeko madarakani. Nashauri utaratibu huu ufutwe haraka kwa maslahi ya taifa.
Makamu wa Rais abaki na nafasi yake hiyohiyo, akitaka urais asubiri muda ufike agombee.
Ikitokea bahati mbaya kama iliyotokea kwa hayati JPM, basi makamu awe kaimu rais kwa muda maalum (kama mwezi tu), chama chake kiteue mtu mwingine kwa utaratibu rasmi, jina lipelekwe bungeni kuthibitishwa awe rais hadi muda wa uchaguzi mkuu kwa mujibu wa kalenda utakapowadia.

Yaani Rais anayechaguliwa kama atamchagua makamu wake mtu ambaye anataka kumuua hakuna wa kulaumu! itakuwa ujinga wa ngazi ya juu
 
Wasukuma mmeumizwa sana kwanini kipengele hicho kimekuja kufanya kazi wakati wa Magufuli, poleni sana.
 
Yaani Rais anayechaguliwa kama atamchagua makamu wake mtu ambaye anataka kumuua hakuna wa kulaumu! itakuwa ujinga wa ngazi ya juu
Nafkr Raisi anayechaguliwa Kwa mhula wa Kwanza chama ndo humpangia mhula wa pili ndo anakuwa na nafas ya kuchagua....!! Whatever the case Kwa Hali ilivyo ni risk
 
Back
Top Bottom