Iko wapi amani ya maisha yangu?

Ukiona hvyo changamoto hauna tafuta vitu vitavyo kutia hekaheka. utakuwa sawa usikubali kuwa na amani ya kupitiliza, uzuni au chochote kile kisizidi jaribu kuwa na uwiano na mambo yko . Bila hvyo utakata tamaa
 
Vipi na wewe unataka kufa au maana mmeona fashion sikuhizi
 
Endelea kuwa karibu na Mungu seriously sio kwa kupapasa,hiyo ndio dawa pekee.Watu wengi wanafikiria kuwa ukiwa na pesa nyingi siku moja utakuwa na furaha,ni Mungu pekee ndio anaweza kukutoa hapo ulipo...
 
Aisee naona this week hapa JF mada za Depression zimeshika hatamu😞

Depression is Real🤦Poleni sana
 
Kama hujui nini kinakukosesha amani basi umerogwa. Weka wazi tatizo nini
 
Hili tatizo ni kubwa apa jf kuliko tunavyoona

Halafu ndio maana huyu huwa anatuaga na haondoki amepumzika week karudi bora abaki tu jf ndio inayompa amani
Kaamua abadilishe na jina, anahofia mtamwambia aondoke tena.

Ila sometime nahisi ni kama wazinguaji tu, hasa ukiwafatilia nje ya nyuzi wanazoanzisha. Kwenye majukwaa mengine wapo kivingine 🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Kaamua abadilishe na jina, anahofia mtamwambia aondoke tena.

Ila sometime nahisi ni kama wazinguaji tu, hasa ukiwafatilia nje ya nyuzi wanazoanzisha. Kwenye majukwaa mengine wapo kivingine [emoji2369][emoji2369]
Sasa wanatafutaje kiki jf na hatuwajui hatuwezi kumwambia aondoke asije akajiua bure ugonjwa wa akili ni tatizo kubwa sana Mungu atusaidie
 
Mafanikio ni kama maji yanayotiririka ,hayaji kwa utulivu ,yanakuja kwa kasi na yanamkusanyiko wa takataka nyingi,ndomana matajiri wanaongoza kwa kukosa amani na masikini wanaongoza kuwa na amani
Hii nimeliona BINAFSI mkuu!!

WAKATI umepata kazi umejijenga vizuri SASA unataka uishi vizuri then mambo ya hovyo yanatokea AISEH!!
 
Hili tatizo ni kubwa apa jf kuliko tunavyoona

Halafu ndio maana huyu huwa anatuaga na haondoki amepumzika week karudi bora abaki tu jf ndio inayompa amani
Mind you own business madam...kwanini unakaza fuvu kwa kitu kilichopita ata Kama niliaga after work Kuna siku nakuwa free na log in Jf shida iko wapi
 
Mind you own business madam...kwanini unakaza fuvu kwa kitu kilichopita ata Kama niliaga after work Kuna siku nakuwa free na log in Jf shida iko wapi
Pole mkuu jitahidi kujichanganya na watu ili usifikie hatua ya kujiua
 
Pole mkuu jitahidi kujichanganya na watu ili usifikie hatua ya kujiua
Sina Nia ya kujiua nitaacha simanzi kwa wanaonitegemea Ila sifurahii Aya maisha kabisa natamani siku zirudi nyuma Kuna mahali nikarekebishe na nisahishe makosa yangu...Kuna vitu vilitokea sio powa nimewapoteza niliokuwa nawahitaji wengine wako mbali na Mimi na wengine walishalala mazima..
 
Mungu akufanyie wepesi mkuu urekebishe ulipokosea ili uwe na amani ya moyo
 
So atafute chawa siyo?chawa ni mzigo na kupe wa kutosha,shida zao watakuletea hadi uchoke🙏
 
Hii nimeliona BINAFSI mkuu!!

WAKATI umepata kazi umejijenga vizuri SASA unataka uishi vizuri then mambo ya hovyo yanatokea AISEH!!
Naam Mkuu hiyo ndio kanuni ya Asili inavyofanya kazi na ukielewa hili hutaumiza kichwa kujiuliza kwanini hili au kwanini vile ,bali utakabiliana na hali na kutafta ufumbuzi na wakati mwingine ufumbuzi pekee unakuwa na kukubaliana na hali na kujifunza kuishi kwa hiyo hali na kuizoea, kila kitu kina gharama zake hapa duniani ni ww tu kuchagua kwamba gharama hizi nazimudu kuzilipa au laaa.
Ndomana masikini ni wengi sababh wengi tumeshindwa kulipa gharama za utajiri ambazo ni kukosa amani na ukishachagua amani basi tambua mkuu umejiweka mbali na mafanikio maana mafanikio yote hapa duniani ya mtu huwa hayaji kwa utulivu,
Sababu lazima kuna mahali utakuwa umewakwanza watu au kuingilia maslahi ya watu au kusababisha watu walie n.k , mfano kupandisha cheo kazini ,lazima kuna mtu ashushwe au afukuzwe ww ndio ukae pale mahali alipotoka yeye na wengi wanapotolewa mahali hhwa hawafurahi wataanzisha vita na ww bila kujua ,
Huu ni moja tu ya mifano ya kwamba mafanikio na amani ni vitu viwili tofauti kama zilivyo mbingu na ardhi na kama unataka amani utulivu basi chagua kuwa masikini wakutupwa ..
 
Sala 5 kwa siku ndiyo mwisho wa matatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…