Iko wapi ladha ya ngono? Ni kwa ajili ya kuzaliana tu

Iko wapi ladha ya ngono? Ni kwa ajili ya kuzaliana tu

Ngono ni kwaajili ya kuzaliana...Na mungu alijua isingekuwa tamu watu msingetaka kuzaliana kukwepa majukumu...Hata familia zisingekuwepo bila utamu wa ngono
Haya nenda kaangali ex ukajifunze mastaili.
mapenzi ni hisia...unampenda mama yako ila hufanyi nae mapenzi..
Hata ukichepuka ukamwacha mkeo hutapata ladha unayoitafuta mpaka unakufa zaidi ya kuambulia magonjwa, matatizo.
 
Acha tu Mkuu Pale kati patamu NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE ,Namkumbuka mzee mitimingi na mazoea.
Kuwa makini Hawajasema 'NGOSWE NGONO KITOVU CHA UZEMBE" wamesema "penzi' Hiyo inaonesha jinsi gani ubongo wako unawaza ngono...
 
Kwani padri haba mchumba? Na km ngono kwa ajiri ya kuzaliana wee padri unaruhusiwa kuzaa? Na km padri kweli habari za, ladha ya ngono unaijuaje?
Poleeeh sanaah
Sijatoswa wala sijaachwa mkuu.
 
Haya nenda kaangali ex ukajifunze mastaili.
mapenzi ni hisia...unampenda mama yako ila ufanyi nae mapenzi..
hata ukichepuka ukamwacha mkeo hutapata ladha unayoitafuta mpaka unakufa dhaidi ya kuambulia magonjwa,matatizo.
Hapa tunaongelea mapenzi au ngono?? Maana mapenzi Hata mtori naupenda
 
Ukijiwekea hiyo mindset mkuu, watakusaidia majukumu yako kwa mke wako.
 
Back
Top Bottom