Iko wapi ladha ya ngono? Ni kwa ajili ya kuzaliana tu

Iko wapi ladha ya ngono? Ni kwa ajili ya kuzaliana tu

ndo ukweli wenyewe...wewe unahisi ngono ingekuwa na maumivu na ingekuwa kama wajibu tu ili uzae..nani angefanya?wachache mno Dunia ingekuwa na watu mia nne
Ngono iliwekwa ili binadamu waburudike bwana na utamu ule kwa nini usiburudike
 
Ngono iliwekwa ili binadamu waburudike bwana na utamu ule kwa nini usiburudike
Ukishaburudika unazaa... isingekuwa Tamu watu wasingezaliana... Yaani kama kuku unapompa mchele anavyouona mtamu na hawezi kuuacha lakini lengo lako sio yeye afurahie lengo lako ni ili badae aliwe vizuri na wali
 
Ngono tamu, ingawaje sometimes inachosha,

Ukiacha viumbe wengine wote, binadamu pekee ndio anaweza kufanya ngono kama starehe au kuzaliana, viumbe wengine ni kuzaliana tu
 
Ngono tamu,ingawaje sumtimes inachosha,

Ukiacha viumbe wengne wote,bnadamu pekee ndo anaweza kufanya ngono kama starehe au kuzaliana,viumbe wengne n kuzaliana tu
Kweli mkuu... ngono tumeikuza wenyewe..
 
Mtoa mada hujakutana na wafinyia kwa ndani. Utauza mpaka kaburi la babu yako. Ngono tamu ndugu yangu, futa kauli.
 
Kama unafanya ngono kama starehe basi hauna tofauti na mtu anaepiga 'punyeto" kwa sababu wote mnamwaga nje.
"Acha nivue mwenyewe, nishukie wapi?, nakuja ila sikai sana, "
"Tufanye fasta nitawahi nyumbani"

Acha hizo mwamba, hii kitu sio pouwa
 
Ndio mana sijali wala kusumbua akili yangu na staili za herufi mara J mara K

mwendo ni dedi kokroch na wazungu wakija nawaacha waje maswala sijui nijizuie

Mpaka dakika 5 au 10 sina uduanzi huo, wakija hata ndani ya sekunde 5 nafungua geti watoke waende wanakotaka.
 
Ndio mana sijali wala kusumbua akili yangu na stili za herufi mara J mara K

mwendo ni dedi kokroch na wazungu wakija nawaacha waje maswala sjui nijizuie

mpk dk 5 au 10 sina uduanzi huo wakija hata ndani ya sekunde 5 nafungua geti watoke waende wanakotaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom