Iko wapi ladha ya ngono? Ni kwa ajili ya kuzaliana tu

Ukweli mtupu..na wanaotambua ni wachache sana... watu wanawaza ngono, wanajadili ngono yaani wameweka ngono ndio kila kitu kwao.
 
Na kakudanganya wewe?
 
Wewe usituharibie lugha. Ngono ni kufanya mapenzi kwa tamaa na kujifurahisha nafsi...... Kujamiiana ni kufanya mapenzi kwa lengo la kuzaliana.
 
Pole sana kijana...ndo maisha haya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli mtupu..na wanaotambua ni wachache sana... watu wanawaza ngono,wanajadili ngono yaani wameweka ngono ndio kila kitu kwao.
Sex is overrated
 
Pole kwa unayoyapitia mkuu, ila jua tu nikiwa na miadi huwa ninaandaa liquid chocolate!, asali, vanilla pamoja na raspberry....we jua tu hivyo usiniulize vina kazi gani
 
We una mademu wabovu sana ndio maana unaropoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…