Iko wapi Ripoti Maalum ya CAG iliyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan siku akiapisha mawaziri?

Iko wapi Ripoti Maalum ya CAG iliyoagizwa na Rais Samia Suluhu Hassan siku akiapisha mawaziri?

Screenshot_20210426-183904.png
 
Wadau siku Rais wa nchi Mama Samia Suluhu Hassan Akiapisha mawaziri aliagiza ukaguzi wa BOT kuanzia mwezi January hadi Machi , ambapo ripoti hiyo ilikuwa isomwe tarehe 20/04/2021 lakini haikusomwa, nini kinafichwa?
Hii nchi inaenda tu ilimradi, inawezekana ile ilikuwa danganya toto tu au mama amepoozwa tayari
 
Kama VP angekuwa anahusika Samia angemteua? yaani kwamba Samia alijua anahusika halafu akamteua hivyo hivyo then baada ya kumteua ndio akaamua kuunda kamati ya uchunguzi impe majibu ambayo tayari alishakuwa nayo? did this make sense?!

Hizi taarifa za kupata toka unrecognised sources japo wakati mwingine huwa za kweli lakini as a mentally sound person hazitakiwi kuaminiwa 100% hasa ikizingatiwa hasira aliyokuwa nayo Kigogo baada ya Mpango kuupata Umakamu na sio yale machaguo yake.
 
Wadau siku Rais wa nchi Mama Samia Suluhu Hassan Akiapisha mawaziri aliagiza ukaguzi wa BOT kuanzia mwezi January hadi Machi , ambapo ripoti hiyo ilikuwa isomwe tarehe 20/04/2021 lakini haikusomwa, nini kinafichwa?
Hilo ni jini liko kwenye chupa,likifunguliwa litaweza hata kumdhuru aliyelifungulia. Ni hatari.
 
Wadau siku Rais wa nchi Mama Samia Suluhu Hassan Akiapisha mawaziri aliagiza ukaguzi wa BOT kuanzia mwezi January hadi Machi , ambapo ripoti hiyo ilikuwa isomwe tarehe 20/04/2021 lakini haikusomwa, nini kinafichwa?
It was just execultive propaganda to win popularity.

Nonsense
 
Kama VP angekuwa anahusika Samia angemteua? yaani kwamba Samia alijua anahusika halafu akamteua hivyo hivyo then baada ya kumteua ndio akaamua kuunda kamati ya uchunguzi impe majibu ambayo tayari alishakuwa nayo? did this make sense?!

Hizi taarifa za kupata toka unrecognised sources japo wakati mwingine huwa za kweli lakini as a mentally sound person hazitakiwi kuaminiwa 100% hasa ikizingatiwa hasira aliyokuwa nayo Kigogo baada ya Mpango kuupata Umakamu na sio yale machaguo yake.
Kigogo naye muda mwingine anachemka sana wakati pesa inapigwa BOT mpango alikuwa bado aja- recover kwanza aliyekuwa akiwasilisha budget ni Mwigulu

Yaani watu hawaelewi pesa alipiga Dotto na Bashiru hata Gavana aliingizwa chaka tu hao ndio wa kushugulikiwa.
 
aani watu hawaelewi pesa alipiga Dotto na Bashiru hata Gavana aliingizwa chaka tu hao ndio wa kushugulikiwa.

Hata kama hiyo report haitasomwa kwasababu ya repercussions zake kwa nchi, basi mama ahakikishe hizo pesa BASHIRU,DOTTO na GAVANA wanazirudisha! Specifically, yale mabillioni BASIRU na DOTTO walizochukua kama fedha za matibabu wakati mwendazake alishakata moto!! Gavana pia aruhusiwe kurudi UDSM akafundishe.
 
Watanzania Unaweza kuwafanya lolote na wasikufanhe lolote kumbuka Swala la simba na yanga linapita hvihiv bila wahusika kuwajibishwa wala sababu za msingi kutolewa hili nalo yaleyale👀
 
Back
Top Bottom