Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

bora huyo utendaji wake una julikana na anajulikana kabisa bila shida yoyote ile plus CV YAKE TUNAIJUA VYEMA KABISA ,sasa huyo mhhhh haa hatumjui vipi CV yake ??? au kisa mke wa ASKOFU RASHID ?? ASEEEEE MODS huu uzi msiufute natamani TISS wamwonyeshe bila shida .
Hawana hata undugu hao! Gwajima ni jina la mume. Madame Dorothy ni kabila lako!
 
Aisee kwani waziri Ni mke wa Askofu? Mbona alikuwa katibu wa Afya
 
Back
Top Bottom