Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
[/QUOTE]RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TANZANIA
Jumla ya Mawazi 21
(1) Ulinzi - Elias Kuandikwa
(2) Mambo ya Ndani -
(3) Ujenzi - Mhandisi Chamlilo
(4). Afya - Dkt Gwajima
(5) Elimu - Professor Ndalichako
(6) Tamisemi - Suleiman Jafo
(7) Utumishi. - Joji Mkuchika
(8). Muungano -
(10) Kilimo. - Adolph Mkenda
(11) Mifugo. - Mashimba Mashauri
(12). Ardhi - William Lukuvi
(13). Waziri Mkuu - Jenister Mhagama
(14). Uwekezaji - Professor Kitila Mkumbo
(15) Katiba - Mwigilu Nchemba
(16) Nishati - Kalemani
(17) Madini - Dotto Biteko
(18) Maji - Juma Aweso
(19) Maliasili na Utalii - Dkt Ndumbaro
(20)
(21)
QUOTE="Roving Journalist, post: 37485031, member: 429096"]
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020
jenista kawa waziri mkuu?
hongera kwake, sasa MAJALIWA anakwenda wapi?