Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TANZANIA
Jumla ya Mawazi 21
(1) Ulinzi - Elias Kuandikwa
(2) Mambo ya Ndani -
(3) Ujenzi - Mhandisi Chamlilo
(4). Afya - Dkt Gwajima
(5) Elimu - Professor Ndalichako
(6) Tamisemi - Suleiman Jafo
(7) Utumishi. - Joji Mkuchika
(8). Muungano -
(10) Kilimo. - Adolph Mkenda
(11) Mifugo. - Mashimba Mashauri
(12). Ardhi - William Lukuvi
(13). Waziri Mkuu - Jenister Mhagama
(14). Uwekezaji - Professor Kitila Mkumbo
(15) Katiba - Mwigilu Nchemba
(16) Nishati - Kalemani
(17) Madini - Dotto Biteko
(18) Maji - Juma Aweso
(19) Maliasili na Utalii - Dkt Ndumbaro
(20)
(21)
QUOTE="Roving Journalist, post: 37485031, member: 429096"]
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020
[/QUOTE]
jenista kawa waziri mkuu?
hongera kwake, sasa MAJALIWA anakwenda wapi?