Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TANZANIA

Jumla ya Mawazi 21

(1) Ulinzi - Elias Kuandikwa
(2) Mambo ya Ndani -
(3) Ujenzi - Mhandisi Chamlilo
(4). Afya - Dkt Gwajima
(5) Elimu - Professor Ndalichako
(6) Tamisemi - Suleiman Jafo
(7) Utumishi. - Joji Mkuchika
(8). Muungano -
(10) Kilimo. - Adolph Mkenda
(11) Mifugo. - Mashimba Mashauri
(12). Ardhi - William Lukuvi
(13). Waziri Mkuu - Jenister Mhagama
(14). Uwekezaji - Professor Kitila Mkumbo
(15) Katiba - Mwigilu Nchemba
(16) Nishati - Kalemani
(17) Madini - Dotto Biteko
(18) Maji - Juma Aweso
(19) Maliasili na Utalii - Dkt Ndumbaro
(20)
(21)

QUOTE="Roving Journalist, post: 37485031, member: 429096"]
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020


[/QUOTE]
jenista kawa waziri mkuu?

hongera kwake, sasa MAJALIWA anakwenda wapi?
 
hivi
RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TANZANIA

Jumla ya Mawazi 21

(1) Ulinzi - Elias Kuandikwa
(2) Mambo ya Ndani -
(3) Ujenzi - Mhandisi Chamlilo
(4). Afya - Dkt Gwajima
(5) Elimu - Professor Ndalichako
(6) Tamisemi - Suleiman Jafo
(7) Utumishi. - Joji Mkuchika
(8). Muungano -
(10) Kilimo. - Adolph Mkenda
(11) Mifugo. - Mashimba Mashauri
(12). Ardhi - William Lukuvi
(13). Waziri Mkuu - Jenister Mhagama
(14). Uwekezaji - Professor Kitila Mkumbo
(15) Katiba - Mwigilu Nchemba
(16) Nishati - Kalemani
(17) Madini - Dotto Biteko
(18) Maji - Juma Aweso
(19) Maliasili na Utalii - Dkt Ndumbaro
(20)
(21)

QUOTE="Roving Journalist, post: 37485031, member: 429096"]
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020


[/QUOTE]
hivi hiyo nambari 4 ni kweli au utani
 
Hongera sana swahiba comrade Patrobass P.Katambi.....you really deserves Kaka....

Uko charismatic, zealot n dedicated....

MAENDELEO HAYANA VYAMA
kwenye meno ajitahidi hata kuswaki basi, ushauri wa bure na siyo kijiba cha roho
 
Aende twitter tu akatafute uwaziri kule.
 
Back
Top Bottom