Ikulu, Chamwino: Rais Samia Suluhu Hassan amwapisha Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa JMT

Ikulu, Chamwino: Rais Samia Suluhu Hassan amwapisha Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa JMT

Bashiru ndo kwanza hata mishahara miwili bado
Life is full of unexpected
 
Mubashara Rais Samia akimwapisha makamu wa Rais Dkt. Mpango leo Ikulu Chamwino

Update:
Anasubiriwa mhe. Samia Suluhu Hassan kuingia na kiapo kuanza.

Saa15:11- Mhe. Dkt. Mpango akiapa.

Saa 15:13 akienda kukalia kiti cha makamu wa Rais.

Salamu kubwa za Rais ni mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.



Usahihi ni:

Hii ni hafla (sherehe) fupi ya kuapishwa kwa Makamu wa Rais wa JMT...

Rais Samia Suluhu hamwapishi VP bali Jaji Mkuu ndiye anayefanya kazi hiyo kwa mujibu wa katiba ya JMT ya 1977 na marekebisho yake huku Rais akiwa mshuhudiaji tu wa kiapo hicho...

Badili maelezo yako. Kuna watoto wanajifunza kupitia jukwaa hili. Siyo vizuri kutoa maelezo potofu ya tukio zima...
 
Mm sio nabii ila yule jamaa sina imani naye kabisa hasa akiwa around state and i dont know why.....
Sio wewe tu, kwa kifupi jamaa ana agenda ovu ndio maana kila mtu ana mashaka nar, tulitegemea awamu hii hatarudi ila amerudi Mungu atuondolee huyo jamaa na agenda zake mbovu zote
 
Back
Top Bottom