Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FEDHAAmewekwa wapi huyu mbuzi maana hakupaswa kabisa kubaki
TumekwishaaaFEDHA
Mubashara Rais Samia akimwapisha makamu wa Rais Dkt. Mpango leo Ikulu Chamwino
Update:
Anasubiriwa mhe. Samia Suluhu Hassan kuingia na kiapo kuanza.
Saa15:11- Mhe. Dkt. Mpango akiapa.
Saa 15:13 akienda kukalia kiti cha makamu wa Rais.
Salamu kubwa za Rais ni mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Alitaka kulia Kama si kupiga chafyaaa ....Kuna kituko amekifanya Bashiru sijui kama mmekiona wenzangu?
You are a jokkerThis must be a joke
Bashiru alizinguaBashiru ndo kwanza hata mishahara miwili bado
Life is full of unexpected
You know..You are a jokker
Kweli noma aisee....Bashiru ndo kwanza hata mishahara miwili bado
Life is full of unexpected
Hahahhaa umeona mkuuMwigulu Nchemba mganga wako ni noma,ntakuja iramba tuyajenge
Mimi.mwenyewe sijui whyFedha Fedha Fedha Fedha
How Why ?????
Mm sio nabii ila yule jamaa sina imani naye kabisa hasa akiwa around state and i dont know why.....Bashiru alizingua
Ila hata mie Bashiru sikufurahia kuwa pale yeye aende tuu kwenye siasa.Bashiru ndo kwanza hata mishahara miwili bado
Life is full of unexpected
Mshahara wa katibu mkuu na Mbuge upi mkubwa?Bashiru ndo kwanza hata mishahara miwili bado
Life is full of unexpected
Sio wewe tu, kwa kifupi jamaa ana agenda ovu ndio maana kila mtu ana mashaka nar, tulitegemea awamu hii hatarudi ila amerudi Mungu atuondolee huyo jamaa na agenda zake mbovu zoteMm sio nabii ila yule jamaa sina imani naye kabisa hasa akiwa around state and i dont know why.....
Hata kwenye siasa hafaiIla hata mie Bashiru sikufurahia kuwa pale yeye aende tuu kwenye siasa.
Mama Mulamula Waziri wa mambo ya Nje
Her brain is sharp tooI know this lady. Congratulations to her. She is very charming.