Yeah Baba Bora huku wamewapa kipaombele Wazee wa hizi kazi sio kuruhusu kila mtu ale mirungi na Bange ni hatari wote mnakua mazombieBora sisi huwa ikitokea fujo wanawapelekea wale wa ukonga wapashe kwanza kidogo ndiyo waingie mzigoni, sasa kenya wameruhusu kwa raia
Kwamba wewe raia wa mchamba wima utambue uwepo wa big fishes ila rais wa nchi pamoja na kitengo cha usalama wa taifa la kenya wameshindwa kubaini,wewe noma saaaaaaaanaSasa si unaona upumbavu huu? Hapo tayari unaona kuna siasa, Gen Z imejipatia umasrufu ndani ya wiki na kuporomoka ndani ya Wiki hiyohiyo.
Imeshadhihirika sasa kumbe siyo Gen Z bali kuna big fishes walichora mchoro wenye sura na umbo la Gen Z, kwa kifupi wametumia mbinu za Hamas
Chakechake kiembesamaki kilimanyegeKwamba wewe raia wa mchamba wima utambue uwepo wa big fishes ila rais wa nchi pamoja na kitengo cha usalama wa taifa la kenya wameshindwa kubaini,wewe noma saaaaaaaana
Mchambawima unapachukulia poa sana? Ndiyo comment na wewe wa Maguruwe na Tandika Kaburi moja ndiyo ume comment kichwakichea ukijifanya unajua zaidiKwamba wewe raia wa mchamba wima utambue uwepo wa big fishes ila rais wa nchi pamoja na kitengo cha usalama wa taifa la kenya wameshindwa kubaini,wewe noma saaaaaaaana
Namwona mzee isuzu ametulia zake hapo kwa nyuma
MK254 nipe updates
Sema kawagusisha ukutaAlituroga mzanaki yule katuinamisha vizazi hadi vizazi
Mbrrr mbrrr mbrr mbrrrGeneration Zombies wapo ikulu Muda huu vichwa vishajaa Bange na mirungi waliyoipika Jana hapo huwaambii kitu hata uwapige risasi Generation Zombies ni hatari sana
huku utapigika vibaya mno.Ni muda sasa wa Viongozi wa Kenya kuja kujifunza Tanzania nini Mwl Nyerere aliwafanyia Watanzania hadi leo hii wasitamani maandamano pamoja na gharama za maisha kuwa juu 😜
Huku sisi ni mwendo wa kulalamika kwenye keyboard pamoja na kubishana kuhusu Simba na Yanga tu 🙌
Generation Zombies wapo ikulu Muda huu vichwa vishajaa Bange na mirungi waliyoipika Jana hapo huwaambii kitu hata uwapige risasi Generation Zombies ni hatari sana
Sasa mkuu si nimekupa maua yako,wewe noma saaanaMchambawima unapachukulia poa sana? Ndiyo comment na wewe wa Maguruwe na Tandika Kaburi moja ndiyo ume comment kichwakichea ukijifanya unajua zaidi
Upo noma kweli, na unazidi kuwa mnono tuSasa mkuu si nimekupa maua yako,wewe noma saaana
Kwani Kenya hawapigiki?huku utapigika vibaya mno.
Kulingana na katiba Ya Kenya, rais hana mamlaka Ya kukataa maamuzi Ya bunge. Mswaada umeshapitishwa na bunge Rais ana option mbili tu. Ya kwanza anaweza kuurudisha bungeni Kwa ajili Ya marekebisho machache na si kuufuta.. Pili ni kuusaini au aache. Kwa mujibu wa katiba Ya Kenya Rais hata asipousaini baada Ya siku 14 utakuwa sheria. Kabla Ya bunge kuupitisha Rais alipaswa kulishawishi bunge kuufutilia mbali mswaada huo. Ndiyo maana waandamanaji wanataka kumng'oa rais Kwa sababu anacheza na akili za wakenya.Wakiendelea zaidi ya hapo, ikitokea wakaanza kulimwa shaba nitashangilia sana. Maana watakuwa ni wapumbavu sasa.
Walichoandamania kimesikilizwa, sasa wanaanza kuhamisha magoli na kuibua madai mapya. Kwani wanadhani Ruto na serikali yake hawana watu wanaowaunga mkono?
Unataka kusema kwamba hao waandamanaji hawajui wanachokitaka? Maana madai ya ni kutosaidiwa kwa ile Bill hadi ifanyiwe marekebisho na ndicho alichofanya Ruto, hajafuta bali hajau sign na anauridisha bungeni ili bungeni akiwa ameweka mapendekezo kama wanavyodai hao Generation Zombies.Kulingana na katiba Ya Kenya, rais hana mamlaka Ya kukataa maamuzi Ya bunge. Mswaada umeshapitishwa na bunge Rais ana option mbili tu. Ya kwanza anaweza kuurudisha bungeni Kwa ajili Ya marekebisho machache na si kuufuta.. Pili ni kuusaini au aache. Kwa mujibu wa katiba Ya Kenya Rais hata asipousaini baada Ya siku 14 utakuwa sheria. Kabla Ya bunge kuupitisha Rais alipaswa kulishawishi bunge kuufutilia mbali mswaada huo. Ndiyo maana waandamanaji wanataka kumng'oa rais Kwa sababu anacheza na akili za wakenya.
Unajua kusoma kweli wewe!? Waandamanaji wanataka mswaada wote uondolewe na si kufanyiwa marekebisho. Mapendekezo Ya kuufanyia marekebisho yalishafanyika mwanzo tu wa maandamano hayo. Waandamanaji hawautaki mswada wote.. Na alichokisema ruto kwenye hotuba yake Ya jtano tarehe 26 June anataka bunge liufute mswada wote kitu ambacho hakiwezekani. Na hata asiposaini Mswada utakuwa sheria baada Ya siku 14. Sijui utakuwa umeelewa!? Soma uelewe badala Ya kukombilia ku-comment.Unataka kusema kwamba hao waandamanaji hawajui wanachokitaka? Maana madai ya ni kutosaidiwa kwa ile Bill hadi ifanyiwe marekebisho na ndicho alichofanya Ruto, hajafuta bali hajau sign na anauridisha bungeni ili bungeni akiwa ameweka mapendekezo kama wanavyodai hao Generation Zombies.
Hapo anachezaje na akili zao?
1. Kinachopingwa kwenye muswada ule ni ongezeko la kodi Kenya anti-tax protests unveil youth verve that could change region’s future politics | The East AfricanUnajua kusoma kweli wewe!? Waandamanaji wanataka mswaada wote uondolewe na si kufanyiwa marekebisho. Mapendekezo Ya kuufanyia marekebisho yalishafanyika mwanzo tu wa maandamano hayo. Waandamanaji hawautaki mswada wote.. Na alichokisema ruto kwenye hotuba yake Ya jtano tarehe 26 June anataka bunge liufute mswada wote kitu ambacho hakiwezekani. Na hata asiposaini Mswada utakuwa sheria baada Ya siku 14. Sijui utakuwa umeelewa!? Soma uelewe badala Ya kukombilia ku-comment.
HahahaTulia wewe🙂