Ikulu chini ya Ulinzi Mkali Nchini Kenya

Ikulu chini ya Ulinzi Mkali Nchini Kenya

Bado hawajafanikiwa kwasababu muswada wanaoukataa raisi wao pia kakataa kuupitisha.
Kwa mujibu wa katiba yao inatakiwa muswada urudishwe bungeni kwa ajili ya amendment, usiporudishwa bungeni ndani ya siku 14 automatically unakua sheria. Cha ajabu bunge limeenda likizo kwa mujibu wa ratiba.
Kumbe

Duh
 
Jamaa wameza kumfanyia hivi mitandaoni , si poa lakini 🤣🤣🤣

7a062fa49d3a4ae6aeb20088f284832c.jpg
 
vijana wanataka pia wakaufinye matonge ubwabwa wa Ikulu.. haya bn. generation z ya bongo muda wa kubet huu!!!!!
 
Back
Top Bottom