Nampongeza sana rais wetu kwa kufanya ziara njema kwa nchi yetu. Press hii imwtufungua mengi ambayo naamini ni chanya kwa nchi yetu.UTIAJI SAINI HATI ZA MAKUBALIANO 15
Jambo lingine kubwa ni utiaji saini Hati za Makubaliano mbalimbali, mikataba. itifaki pia. Jumla zilitiwa saini Hati za Makubaliano 15:
Mkuu PaskaliWakuu Gulwa na Tate Mkuu,
Then mna a pyschological problem inaitwa apathy, bila wewe kujijua, hivyo hata ukisikiliza redio, au ukiangalia TV, akiingia mtangazaji fulani, unazima redio ama una hama station!. Please be honest, mtu anaongea, hujasikiliza anaongea nini, unaamua huwezi kupoteza muda wako kusikiliza uongo!, bila ya kusikiliza kilichoongelewa, utajuaje ni uongo?.
Kwa vile wewe tayari umeisha mjua fulani ni muongo siku zote anazungumza uongo, the right thing to do ni kwa wewe kumsikiliza kwanza, kama amezungumza tena uongo, na wewe ukweli unaujua, the right thing to do is to listen, kisha na wewe uiambie jamii hata kupitia tuu humu humu jf, kuwa alichozungumza fulani ni uongo, ukweli ni huu, hapo unakuwa umeisaidia jamii kuiambia ukweli na at the same time kumzuia muongo hiyo kuendelea kudanganya in future, baada ya kujua kumbe kuna watu wanaoujua ukweli hivyo kumuumbua uongo wake!.
P
TumepigwaMkuu Paskali
Hiyo mikataba 15 hawajaisema. Ni hadaa na story ndeeefu zenye peremende kuliko chakula
Hakika tunapigwa.Tumepigwa
wanazinguaPascal with due respect hivi kweli Zuhura ataongea nini?....nchi ina hali mbaya sana...ni kweli mengine hayajasababishwa na Serikali lakini ukweli ni kwamba hawa tunaowaita viongozi HAWANA UWEZO wa kutatua hizi changamoto PERIOD.
Watanzania Siyo Wajinga Hata Mambosasa Aliambiwa Na Jiwe Wakati Wa Kutekwa MwamediHakika tunapigwa.
Ziara za third part convicinable.....
Wenye akili waelewe
au Bahati bukuku aimbe bongo flevaUnaweza kukaa kusubiria Diamondi aimbe gospel?
Ewaaaaa, lile jambo muhimu la kuuza nchi kwa kuwalambisha asali akina fulani ndio lielezwe hapa.However, hapo kwenye mikataba 15 inayoitwa HATI ZA MAKUBALIANO 15 ni busara sana kutueleza bayana ni zipi na kwa kipindi gani.
Wanasema godoro alilinunua babu hadi mjukuu analalia...Ewaaaaa, lile jambo muhimu la kuuza nchi kwa kuwalambisha asali akina fulani ndio lielezwe hapa.
Sio kutuambia vitu vya ovyo ovyo tu, nani atapeleka bidhaa China kutoka TZ zikawa na ubora wanaoutaka kiasi cha kufurahia kutotozwa kodi kwa 98% ?
Hizo hati 15, tuelezwe na tuoneshwe moja baada ya nyingine, tujue baada ya kuuza sehemu ya nchi kwaajili ya kuokoa mtoto muuza poda, safari hii, nini kinaokolewa kwa kugawa pande la hii nchi?