Habari kubwa leo ni kutokana na alichokifanya Rais Magufuli kumtumbua Waziri Kangi Lugola.
Pia ameteuwa nafasi zingine zilizoachwa na wengine waliojiudhuli katika Jeshi la Zima Moto na kuwaongeza miaka mingine ya utendaji kwa mabalozi ambao muda wao umeisha.
Mabalozi hao ni pamoja na balozi Asha Migiro wa Uingereza, wa Italia, Israel et.
Je swali kwamba nae Simbachawene atafanya vizuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia ameteuwa nafasi zingine zilizoachwa na wengine waliojiudhuli katika Jeshi la Zima Moto na kuwaongeza miaka mingine ya utendaji kwa mabalozi ambao muda wao umeisha.
Mabalozi hao ni pamoja na balozi Asha Migiro wa Uingereza, wa Italia, Israel et.
Je swali kwamba nae Simbachawene atafanya vizuri?
Sent using Jamii Forums mobile app