Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,262
- 3,184
Wakamkatia mirija Mugabe wa watu akapata tabu sana.Kiboko au alipuuzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakamkatia mirija Mugabe wa watu akapata tabu sana.Kiboko au alipuuzwa
Mugabe ubabe wake uliishia mdomoni tuWakamkatia mirija Mugabe wa watu akapata tabu sana.
Amejipanga kukutana nao kiaina, tangu wamtangazie wana kiwembe.Sasa amemvulia kofia kwa lipi hasa? Alafu kukutana na Blair kunalipi lamno maana nimstaafu tu Hugo!!' Msisifu kishamba Blair hana maajabu yeye akutane na wapinzani asikwepe jukumu hilo nahilo in ili kuitibu nchi
Aisee mkuu ulipotea, waliamua kukunyima haki ya kuongea humu...mambo mengi sana yamepita, karibu tena👍Habari ya kitoto! Hii ni Sawa sawa na Sumaye akamtembelee Biden
Asante sana mkuu, walinifunga mdomo ila nimerejea kuendelea na mtanangeAisee mkuu ulipotea, waliamua kukunyima haki ya kuongea humu...mambo mengi sana yamepita, karibu tena👍
Alikuja Obama na Bush tena wakiwa madarakani na hakuna jipya, itakuwa huyo mstaafu wa UK? Mama wa kambo hajatukanwa bali anapewa ukweli wake, mnamjaza ili abebe ajenda zenu nyie sukuma Gang.Wapinzani gani akutane nao? Hawa wanaomtukana mitandaoni? Hawa wasio na subira wanaotaka kumpangia lini wakutane naye wakati wao ndiyo wameomba kikao? Hawa wanaoambiwa msifanye kongamano kwa sasa wao wanajibu kwa jeuri lazima wafanye kongamano? Kuwa serious
Hadi sasa naona wameshanyoosha mikono juu, Makamu Mkiti kawaamuru waingie barabarani kumdai Mkiti lakini hamna hata mtu mmoja aliyejitokeza, zimebaki kelele jf na Twitter ambapo impact yake ni ndogo sana.Alikuja Obama na Bush tena wakiwa madarakani na hakuna jipya, itakuwa huyo mstaafu wa UK? Mama wa kambo hajatukanwa bali anapewa ukweli wake, mnamjaza ili abebe ajenda zenu nyie sukuma Gang. Katiba mpya ni dai halali, na wapinzani wanafanya mikutano ya ndani hawahitaji hisani ya mama wa kambo. Hao cdm watakuwa ni wajinga kama watasubiri hisani ya ccm wasiotaka katiba mpya.
sasa hivi sio mabeberu tena 🤣 🤣 🤣Mama aendelee KUKABIA JUU..mpaka wanyooke
Nasikia Mugabe alimpatia Tony ofa ya kumfanya kuwa mke wake wa pili kipindi kile UK & Obama wamekomaa kuhusu ndoa za jinsi 1Marehemu Mugabe ndio alikuwa kiboko ya Tony Blair.
mataga pori mnajua kujifariji sana.Hadi sasa naona wameshanyoosha mikono juu, Makamu Mkiti kawaamuru waingie barabarani kumdai Mkiti lakini hamna hata mtu mmoja aliyejitokeza, zimebaki kelele jf na Twitter ambapo impact yake ni ndogo sana.
Kupata mateso nayo ni sifa?mataga pori mnajua kujifariji sana.
Hivi ni mateso gani mapya mtakayowapa CDM ambayo hawajayapitia hapo awali??
kukutana na wapinzani wasio na akili kama chadema ni matumizi mabaya ya muda rais ana mambo mengi ya kufanya hata brair anamuhimu kuliko angepoteza muda wake kuongea na mtu kama mboweSasa amemvulia kofia kwa lipi hasa? Alafu kukutana na Blair kunalipi lamno maana nimstaafu tu Hugo!!' Msisifu kishamba Blair hana maajabu yeye akutane na wapinzani asikwepe jukumu hilo nahilo in ili kuitibu nchi
Ha ha ha yule babu alikuwa anazeeka vibayaN
Nasikia Mugabe alimpatia Tony ofa ya kumfanya kuwa mke wake wa pili kipindi kile UK & Obama wamekomaa kuhusu ndoa za jinsi 1
Mtanikumhuka kwa mazuri na si kwa mabaya! R.I.P JPM-.../03/2021I always had a suspicion we inherited a globalist,today I confirmed it...Yani hii Blair Institute duh!sijui nianze wapi...tujiandae tu!
Ahahahahahah siyo huyu bwana,yule alikuwa David Cameroon..mpaka tukasnzisha kamsemo hapa Katerero ka nitaku-Cameroon ujue ahshshHa ha ha yule babu alikuwa anazeeka vibaya
Ataweza kumuuliza kuhusu tabia chafu aliyorithi kutoka kwa mwendazake?Samia Suluhu akutana na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair...