IKULU-DAR: Rais Samia Suluhu akutana na Mjumbe Maalumu wa Rais Uhuru Kenyatta. Rais Samia aalikwa rasmi kuzuru Kenya ili kukuza ushirikiano

IKULU-DAR: Rais Samia Suluhu akutana na Mjumbe Maalumu wa Rais Uhuru Kenyatta. Rais Samia aalikwa rasmi kuzuru Kenya ili kukuza ushirikiano

You win Omela - lakini umemsikia mama Samia alivyo kuwa anatiririka na a very refined Queen's English pale Ikulu ya Entebbe,je siku za usoni mama Samia akukutana na Rais Biden na makamu wake Bi Harris kwa mazungumzo watakuwa overly impressed
Mama hata sijawahi kumpinga. Pamoja na mwendazake kupiga bit lakini aliingiliwa utu na kumtembelea mgonjwa Nairobi hospital. Lakini wengine walishindwa na kugwaya . Kwenye lugha mama yuko poa .

Kwa mama unaona hata thread humu hazifutwi [emoji122][emoji120]. Tumuombee kiburi cha kiti kisije kumjaa

Odhis *
 
Tunapenda sana kuboresha mahisiano ila yasiwe ya kinyonyaji...kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wakiyuhujumu katika tasnia ya utalii hata madini.

Wao ndio wamekuwa wanasoko kubwa la uuzaji wa Tanzanite kinyemela mpka ilifikia hatua..mataifa ya nje yakajua Tanzanite.

Ila kipindi cha JPM walinyooka...Hawa watu ni majirani ila umakini unahitajika sana.

Hata kipindi cha Nyerere tumewahi kuwafungia mipaka...hawa ni ndumilakuwili.

Hata kufa kwa EAC ya kwanza...hawa ndio waliochota raslimali nyingi. Sijui sisi tunakwama wapi.

Tanzania kwa ajili ya Watanzania; Waafrika na Walimwengu wote watakaofata taratibu zetu.
Mitanzania michoyo km nini.. Mkiwa nje ya nchi michoyo!

!ukiikaribisha kwako ughaibuni km mitanzania itaKuliza tu haina wema..

Madini ni ya africa mkenya ni muafrica tunachangia damu.kuna wajaluo.wakurya na waruli.masai .wachaga east africa yooote tumejichanganya sana!!

Lkn jitu km wewe unaona ni bora. Muarabu.mzungu muhindi tena anae kuita nyani!!! Aliye wagawa mkawa tofauti achukue yeye kiubweteee!

Kwa hiyo mkenya akitajirikia mali asili ya Tanzania unavimba mpaka unapasuka.ndo maana watanzania mnalogana mno kifamilia wacha waje tuchanganyike mshindwe pa kulogea.mfyuuuxcxccdffg.
mmekaaa kienyeji sana wakenya mkuje huku. Mule dhahabu bureee ardhi bureer
 
Mama hata sijawahi kumpinga. Pamoja na mwendazake kupiga bit lakini aliingiliwa utu na kumtembelea mgonjwa Nairobi hospital. Lakini wengine walishindwa na kugwaya . Kwenye lugha mama yuko poa .

Kwa mama unaona hata thread humu hazifutwi [emoji122][emoji120]. Tumuombee kiburi cha kiti kisije kumjaa

Odhis *
Mkuu, hilo la kwenda kumtembelea Lissu wakati amelazwa Hospitalini Nairobi mbona nalikumbuka sana, this proves kwamba mama huyu ni a truly independent minded person, si hilo tu vile vile ni jasiri sana.
 
Ukiona hivyo ujue kuna kitu Wakenya wanakitaka.

Hawa hawanaga urafiki wa Kweli wala ujirani mwema, wanachoangalia ni maslahi tu na Wizi.

Rais Samia anapaswa kuwa makini sana na hawa Wakenya
 
Back
Top Bottom