johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Vaa barakoa bwashee usingoje kuambiwa na Dr Gwajima!Ugonjwa huu si typhd kuwa ukiweka neti umejikinga tunazungumzia ugonjwa wa kuitaji hatua za wote si mtu mmoja mmoja
Sukuma GangWapenzi wa jiwe sasa ndio wapinzani wa Samia.
Maisha yako kasi sana.
Majukumu Mkuu au afanye kimya kimya..nini Kazi ya vyombo Vya habari?Mama anapenda kiki.. Rais inabidi apotee kidogo hewani
Lisu analiwa mkundu na AmstardamNi Mazezeta wasiojua wanataka nini zaidi ya kupenda kuona Binadamu wenzao wakiteswa.
Shujaa wao wa Mazezeta ndio hivyo tena anazidi kuliwa na Wadudu
Mnakazi sana nyieMama anapenda kiki.. Rais inabidi apotee kidogo hewani
Akionekana shida akitoweka shida hebu kuweni na aibu too much complaining...Mama anapenda kiki.. Rais inabidi apotee kidogo hewani
Akipokea kimya kimya mtasema anajisikia,Mama anapenda kiki.. Rais inabidi apotee kidogo hewani
Mi nadhan mnajaribu kuchomoka ukabila bila sababu yoyote..Ni upumbav mawazo ya mtu binafsi mnayafananisha na kabila fulani..au ndio wale mnalipiziana ukabila kwa ukabila..chagadomo kwa sukum...shauri yenu mtajijua...ila mkome kufanya hizi issue ziwe za kitaifaSUKUMA GANG mnaonekana kupata shida kwenye kila afanyalo SSH, leo hii mmesahau kuwa mwendazake alikuwa hata akila mahindi barabarani tunaonyewsha, hata akipewa kuku kama mahari ya mama yake mlikuwa mnatuonyesha, akienda kusali mnatuonyesha?
Keshasema kuwa yeye na marehemu dikteta ni kitu kimoja kimojaMama anapenda kiki.. Rais inabidi apotee kidogo hewani
Kivipi embu eleza sababu...au mnahisi JPM na mama walikuwa na tofauti yoyote....? Wangekuwa tofauti JPM asingeendelea nae katika vipindi vyote. Wale wote ambao alitofautiana nao hakuweza kukaa nao na wengine walikimbilia upinzani na wengine walitoroka nchi...sasa wewe usidhan wananchi wajinga hatuelewi yanayoendelea...ukome kupandikiza chuki..Wala hamtafanikiwaWapenzi wa jiwe sasa ndio wapinzani wa Samia.
Maisha yako kasi sana.
Hahahah nadhani hata chandarua hatumii maana hajaambiwa atumieVaa barakoa bwashee usingoje kuambiwa na Dr Gwajima!
SUKUMA GANG wakisoma hapa watakutukana. Subiri uoneMama Ni chaguo la MUNGU
Anaokota vichwa vya treni bandarini... hahahah eti havina mwenyewe wakati vina nembo ya TRL... Meko alikuwa fala sana wallahTena alikuwa anataka afanye ufunguzi hata wa kisima cha maji, anapiga push ups nayo inakuwa habari.
Alikuwa anatembea na maburungutu ya fedha kama papaa, anakula kijiweni nayo habari, Mara ananunua mapapai nayo inakuwa habari.
So heri mama anafanya Mambo ya maana sio kupiga push ups na kutafuna mahindi na kununua kuku barabarani.
Aliwakota wajinga sana halafu Hana hata aibu kwamba kuna watu wanamuangalia wanamshangaa hapo ndio nilikuwa najiuliza huyu jamaa hivi no mzima kweli?Anaokota vichwa vya treni bandarini... hahahah eti havina mwenyewe wakati vina nembo ya TRL... Meko alikuwa fala sana wallah
Barakoa imekaa kama ziwa 1 la mwanamke lililokatwa-Shujaa.Kivipi embu eleza sababu...au mnahisi JPM na mama walikuwa na tofauti yoyote....? Wangekuwa tofauti JPM asingeendelea nae katika vipindi vyote. Wale wote ambao alitofautiana nao hakuweza kukaa nao na wengine walikimbilia upinzani na wengine walitoroka nchi...sasa wewe usidhan wananchi wajinga hatuelewi yanayoendelea...ukome kupandikiza chuki..Wala hamtafanikiwa
Hahahaa hamzidi yule msukuma aliye kuwa anazindua hadi vyoo ilimradi tu atokee kwenye kideo.Mama anapenda kiki.. Rais inabidi apotee kidogo hewani
Kwanini Sijaona hili jamhuri ya twitaRais Samia ànapokea hati za utambulisho wa mabalozi wateule wa nchi mbalimbali.
Ikulu ni full barakoa.
Tukio liko mubashara TBC, Channel ten, ITV na Upendo tv.
Kazi Iendelee!