IKULU, Dar: Rais Samia Suluhu apokea hati za Mabalozi

IKULU, Dar: Rais Samia Suluhu apokea hati za Mabalozi

Mlikuwa Wabishi sasa mnanyooka
Ubishi wa nini? tatizo lenu hamuelewi lolote mnashabikia tu mambo, wewe unafikiri duniani kote kila nchi wameweka ulazima wa kuvaa barakoa public kama mnavyofikiri? nikikuuliza hapo kuna ushahidi gani wa kisayansi wenye kuonesha watu kuvaa hizo barakoa inazuia maambukizi ya corona? sijui utapata wapi huo ushahidi, Nchi kama Denmark hakuna huo ulazima wa kuvaa barakoa ila ninyi mmeshikilia barakoa barakoa hamjui faida zake wala hasara zake kuvaliwa public.
 
Aliwakota wajinga sana halafu Hana hata aibu kwamba kuna watu wanamuangalia wanamshangaa hapo ndio nilikuwa najiuliza huyu jamaa hivi no mzima kweli?

Sema alijua majority ya wabongo hawana elimu akaamua kucheza na hao majority ambao mpaka leo hawajielewi.

Unaokotaje vichwa vya treni, au anasema makontena 10,000 yameibiwa bandarini, kwa asiyeijua bandari na process za kutoa mzigo anaweza akaamini kwamba kulikuwa kuna wizi wa kontena linatoka kumbe watu walikuwa wanapiga white collar crime. Kontena lipo tu Ila mzigo unatoka lakini unapotea kwenye system ya Kodi TRA. Yeye akaibuka tu ashki majinuni.
Yale makinikia akaandaa igizo na maprofesa wake wakatuzuga eti thamani yake ni Noah moja kwa kila mtanzania... Na mataga yakachagiza kwa kushangilia ....poyoyo sana mwendazake
 
Ubishi wa nini? tatizo lenu hamuelewi lolote mnashabikia tu mambo, wewe unafikiri duniani kote kila nchi wameweka ulazima wa kuvaa barakoa public kama mnavyofikiri? nikikuuliza hapo kuna ushahidi gani wa kisayansi wenye kuonesha watu kuvaa hizo barakoa inazuia maambukizi ya corona? sijui utapata wapi huo ushahidi, Nchi kama Denmark hakuna huo ulazima wa kuvaa barakoa ila ninyi mmeshikilia barakoa barakoa hamjui faida zake wala hasara zake kuvaliwa public.
👆
Denmark hiyo
 
Yale makinikia akaandaa igizo na maprofesa wake wakatuzuga eti thamani yake ni Noah moja kwa kila mtanzania... Na mataga yakachagiza kwa kushangilia ....poyoyo sana mwendazake
Kuna waliyoleta report ya ukweli akawatimua akasema sio wazalendo wakati hao ndio walimpa ukweli.

Jamaa alikuwa mzee wa kujitekenya na kucheka mwenyewe. Anatanguliza watu wa kumuuliza maswali ya kijinga ili awajibu hataki critical issues yeye anataka kuongelea sijui DAS analala na demu gani, sijui nani kaibiwa shamba, Mambo ya kijinga ambayo angedeal nayo mtu wa Halmashauri tu.

Ila Kikwete alitukomesha baada ya kumtusi akaona tukome.
 
Unaongea kana kwamba Tz tatizo letu kubwa ni udikteta wa Magufuli tu, kuna suala mfano la katiba ambalo Magufuli amelikuta na kuliacha na Mama Samia nae hadi sasa haoneshi kushughulika na hilo jambo ila watu mnaona matatizo yenu yote yameisha kwa kufa kwa Magufuli, msipoangalia mtaendelea kumshabikia huyu mama na kugeuka kuwa wasifiaji hadi mwisho kwa kudhani hivyo mnawakomoa hao mnaoita sijui wasukuma halafu nae atamaliza muda huku akiwa kaacha matatizo yenu ya msingi yakiwa vilevile.
Hapo nilipobold hapo mbona unajichanganya sana, wewe binafsi ulianza lini kuipigia chapuo katiba mpya uliyoiita ni tatizo letu, huku mwishoni ukibainisha kuwa ni matatizo yenu, na wewe ukawa tayari umeshajitoa.
 
Hapo nilipobold hapo mbona unajichanganya sana, wewe binafsi ulianza lini kuipigia chapuo katiba mpya uliyoiita ni tatizo letu, huku mwishoni ukibainisha kuwa ni matatizo yenu, na wewe ukawa tayari umeshajitoa.
Nimesema matatizo yetu kwa kuweka matatizo yote niliyowahi kuyasema na nisiowahi na hata yale ambayo mimi binafsi sioni kuwa ni tatizo maana tunatofautiana mitazamo. Nimeitaja katiba kwa upande wenu nyie ambao ndio imekuwa wimbo wenu kwa muda mrefu kwa kuamini ndio source ya matatizo mengi ya uongozi, lakini naona sasa wimbo huo hamuiimbi sana na matokeo yake mmegeuka kuwa wasifiaji na watu wa kumtetea Mama kila anapokosolewa kwa mtazamo wa kuwakomoa wasukuma na ndio maana nikasema msipojiangalia mtakuja kushtuka mama anamaliza muda wake na kuwaacha bila kutatua yale mnayoyapigia kelele kama matatizo ya msingi mfano katiba mpya.
 
Sasa unata katufanyeje?

Shida ni kwamba Matatizo hayaishi!

Matatizo yanapungua tu

Magufuli amekufa tumefurahi sana.

Heri matatizo mengine ya kimaskini, Lakini sio matatizo ya mauaji.. Magufuli ameua watu Sana tena watu muhimu kwenye familia zao.
Mungu Fundi
Tatizo wengi Magufuli amewagusa kwenye angle nyengine kabisa ila mkija humu kila mtu analalamika oh! alikuwa anauwa sana mara dikteta.
 
Huyu mama waziri wa mambo ya nje alikuwa anahojiwa kwenye kipindi cha Dakika 45,anacheka cheka tu anazungumzia suala la chanjo huku anacheka cheka tu hamna kitu hapa.
 
Hayo mabarakoa yao wasije tulazimisha na raia tuvae kwa lazima, ameshaua uchumi wa utalii na biashara kwa kulazimisha all foreigners quarantine kwa 14 days, sasa asitulazimishe na mabarakoa yake.
Mpuuzi wewe ,mlipokuwq mnahimiza kuvuta mvuke hao watalii waliongezeka ?
 
Ubishi wa nini? tatizo lenu hamuelewi lolote mnashabikia tu mambo, wewe unafikiri duniani kote kila nchi wameweka ulazima wa kuvaa barakoa public kama mnavyofikiri? nikikuuliza hapo kuna ushahidi gani wa kisayansi wenye kuonesha watu kuvaa hizo barakoa inazuia maambukizi ya corona? sijui utapata wapi huo ushahidi, Nchi kama Denmark hakuna huo ulazima wa kuvaa barakoa ila ninyi mmeshikilia barakoa barakoa hamjui faida zake wala hasara zake kuvaliwa public.
Kinachokuuma ni nini ,wakati mlipokuwa mnahimiza tiba za zama wa kale za mawe mbona tulikaa kimya ?acheni sindano iwangie pande zote za mwili .Mama piga mzigo ,tuko na wewe
 
Back
Top Bottom