Ikulu Dar: Rais Yoweri Museveni na Rais Samia Suluhu washuhudia utiaji saini wa mikataba ya utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta

Viongozi wa kiafrika bwana kila siku kama si kuzindua basi kusaini jambo moja kila muda.

Kwani mama alivyoenda safari ya kwanza Uganda akusaini au karatasi zilikuwa zimeisha?
 
Viongozi wa kiafrika bwana kila siku kama si kuzindua basi kusaini jambo moja kila muda.

Kwani mama alivyoenda safari ya kwanza Uganda akusaini au karatasi zilikuwa zimeisha?
Hahahaha mkuu ivi ww unaweza kwenda kujadili mambo ya ndani ya ndoa yako kwa jiran yako ? Huo ni uchulooo
 
M7 ni msanii kichizi,aliwahi kupewa bandari kavu huko tanga mpk leo sijui mwaka wa ngapi huu hata kuiwekea kibanda cha nyasi hajawahi
 
Viongozi wa kiafrika bwana kila siku kama si kuzindua basi kusaini jambo moja kila muda.

Kwani mama alivyoenda safari ya kwanza Uganda akusaini au karatasi zilikuwa zimeisha?
Mara moja moja chekelea ikiisha akili hua zinawarudia.
 
kila siku kutia sahihi ?
 
Mkuu ebu tueleweshe Hii Saini Saini Ya Huu Mkataba. Maana nikikumbuka Hii Ni Mara ya 3 o 4 Mkataba wa Hili Bomba Unasainiwa.
Unamuuliza kapuku suala la kiserikali hebu jiongeze basi kiakili


Nadhani saizi majibu unayapata mubashara
 
Mbona hawa hawajatajwa na wapo hapo

Akiwa hapa nchini Mhe. Rais Museveni na Mhe. Rais Samia watashuhudia utiaji saini wa mikataba ya utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta la kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga nchini Tanzania kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni za uwekezaji katika mradi huo
 
Mwisho wa siku mwenye bomba ni Uganda sisi ni wabembelezaji tuu kutaka wapitishe kwetu wanaweza wakaamua vinginevyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…