Ikulu Dar: Rais Yoweri Museveni na Rais Samia Suluhu washuhudia utiaji saini wa mikataba ya utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta

Maeveni is a murderer he should be arrested and locked for life
 
Hapa ndipo Nimeshangaa, Hata Mwendazake pia alishasaini na Huyu Pia akaenda Huko Sasa kusaini Kusaini kusaini Kila Wakati.
Toka 2017 hilo bomba mikataba inasadikiwa tu. Yaani utiaji saini umezidi hata muda wa ujenzi!
 
Hii nenda rudi ya Samia Kampala na Museveni Dar es Salaam inaanza kunitia Shaka ila ngoja kwa sasa niusome Mchezo mzima.
Nauliza tu, hivi rais wa Rwanda yuko wapi, sijamsikia kitambo sana
 
Hivi watia mikataba ngapi, mbona kila siku ni kutia vidole kuanzia enzi ya Hayati?
Au wamebadilisha mkataba baada ya mwenye boma kusepa?
 
HILO BOMBA LIMETIWA SAINI (DOLE )MARA NGAPI? NAONA KILA SIKU NI KUTIA SAINI! MBONA MNAVUTA VUTA SANA NINYI WATU? KWANI HAMUWEZI KUSAINI DOCUMENTS ONLINE NA KAZI IKAANZA? DUUH, ANAYEJUA ATUFAHAMISHE HIZI SAINI NI ZA NINI? MBONA WALISHASAINI MARA NYINGI? ANY IDEA?
 
Hapana siwezi mkuu.
Kama huwezi basi ndionmaana mkataba wa Tz umekuka sainiwa Tz, kuna kitu kinaitwa triple parties, mradi huu ndugu unapelekea kuanzishwa kwa kampuni ya shea serikaki ya Tz , UG, na Total... (Kama sijakosea) so wana hisa wana ingia mikataba kuanzishwa kwa kampuni iyo EACOP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…