idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Kabisa yaani Taifa linarudi kwenye mstari Mdogo Mdogo.Kama dsm ya zaman na sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yaani Taifa linarudi kwenye mstari Mdogo Mdogo.Kama dsm ya zaman na sasa
😂😂😂😂😂🙄😳🙄😳🙄😳🙄🙄🙄Mnufaika siku zote anakuwa 'kipofu 'kwenye huu ubadhirifu.
Uchunguzi ukianza wa shirika la ndege wahusika wote ikiwemo na ndg yetu Pascal Mayalla wachunguzwe.
Kuuliza sio ujinga, mzee wa watu aliuliza swali lenye mantiki, unamtukana mzee wako ambaye ni kama baba yako, my friend hutaishi duniani for that long kwa staili hio. anyway yuko wapi saivi..apumzike kwa mateso aaah sore kwa amani.Hahaaaaaa, wanyonge na wao walizidi kuuliza vitu vya kijinga. Hadi choo unataka Rais akusaidie?
Kwahyo lisu basi tena hutak awe raisi...[emoji38]Huyu ndie Rahis halali wa Tanzania sababu ni Mungu ndio kamweka hapo alipo.
Najisikia faraja sana kumsikiliza Madame President
Na Yeye a napenda ma TV kama mtangulizi??
Mkwere alikuwa anapokea kimya kimya nadhani. But madudu yalisomwa bungeni tukayajua
Mtu unadaiwa b zako ulikopa kihalali badala ya kufilisiwa kwa utaratibu unapelekwa takukuru ili uswekwe ndani. Wapambane na wala rushwa.Dah hapo sasa
Tumepata Jk mgine tena hana haraka hasira wala hafokee mtu, naona huyu mama atafanikiwa sanaaNamwona Jk ...akiwa kwenye Sura ya mama Samia...
Lissu anangojea katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!Kwahyo lisu basi tena hutak awe raisi...[emoji38]
Soon mtaanza kumuita majina yote mabaya... Yetu macho, jiwe nae mlianza kwa kumsifia, mwishowe akawa adui yenu.Yaani huyu Rais Samia ana IQ ya Hali ya juu sana
Huku uwe unakuja kukaa tu!Ni kweli alikua anasema hivyo..neno lake LA mwisho hadharani lilikua "baki na mavi yako nyumbani"
Acha kumpangia.....Hatujazoea Rais kutoa maagizo kwa kubembeleza hivi. Yani mpaka imenibidi kurudia kutazama hotuba za zamani za JPM ili kupata mzuka. Mama aongeze ukali la sivyo shamba linaenda kuwa nyumba ya manyani.
Tuendelee tu kupeana hii rushwa ya tendo pendwa bibie.. Nipe nikupe tu.taratibu mtamuelewa tu aisee....
Na mumesikia alivo sema kuhusiana na rushwa ya ngono, kasema anaye toa na anaye pokea wote ni watu wazima...
Hapo moja kwa moja wamelengwa kina Seti na Rugemalila.Rais ameagiza kesi zisizokuwa na msingi zifutwe.
je, mfano wa kesi zisizokuwa na baseline kwa wakati huu ni zipi?
Ukaguzi wa kuanzia January mpaka Machi unamhusu wameiba hela