Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajadiliana 2025 panapo majaaliwa yake Allah!isije ikawa nguvu ya soda mkuu. JPM haya mambo yalikuwa kwenye damu
Kutumia neno "kulenga watu" inaweza isiwe sahihi...bora kusema "kulenga taasisi" japokua nadhani analenga kujua kinachoendelea.Hapo moja kwa moja wamelengwa kina seti na rugemalila...
Hapo Doto James Katibu mkuu wizara ya fedha hatoboi.Minong'ongo mitaani ni kwamba Kuna kiasi kikubwa cha pesa kimechotwa ndani ya kipindi hicho na matumizi yake hayako bayana
Kwa agizo la Madam President, anataka kujiridhisha minong'ongo hiyo? Au anataka kupata uhalali wa kushughulika na waliohusika? Tusubiri muda, siku hazigandi
Kwanini JK mnamhusisha na BABU SEYA? MBONA ALIFUNGWA ENZI ZA MKAPA YULE BABU SEYA. ACHENI KUMUONEA KIKWETE.Hapo moja kwa moja wamelengwa kina seti na rugemalila...
Hahahaa..zilikua na parental advisory...explicit content..!Hotuba zimejaa utu hakuna matusi,nilikuwa nazuia watoto kuangalia zile hotuba
Uamsho.Rais ameagiza kesi zisizokuwa na msingi zifutwe.
je, mfano wa kesi zisizokuwa na baseline kwa wakati huu ni zipi?
Watu wa mikoani huwaga tunawaacha hivyo hivyo.Kwanini JK mnamhusisha na BABU SEYA? MBONA ALIFUNGWA ENZI ZA MKAPA YULE BABU SEYA. ACHENI KUMUONEA KIKWETE.